Ningependa kujua kuhusu Toyota Hilux Double Cabin

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Je, zina range bei gani za mwaka 2008 hadi 2012?

Je zipo zenye Automatic Transmission?

Vipi kuhusu ulaji wake wa mafuta?

Karibuni ndugu.
 
Nilioma uzi wa @samaritarian magari mtafte twitter uyo jamaa
 
Je, zina range bei gani za mwaka 2008 hadi 2012?

Je zipo zenye Automatic Transmission?

Vipi kuhusu ulaji wake wa mafuta?

Karibuni ndugu.
Mkuu ingia twitter mcheki jamaa mmoja anajiita (Samatimemagari), kwenye Profile yake search (Hilux) kuna uzi ameielezea vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…