Ningependa kujua: Waasi, maharamia hupata wapi silaha?

Ningependa kujua: Waasi, maharamia hupata wapi silaha?

mpuko

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
662
Reaction score
552
Habari zenu wakati jamvi.
Naomba kujuzwa. Hivi vikundi vya waasi, maharamia, magaidi nakadhalika. Huwa wanapata wapi silaha, mafunzo na vifaa vingine vya kijeshi? Huwa vinapitishwa wapi ili kuwafikia? Ni nani anaevifadhili na ni kwa faida ya nani? Kwa leo ni hayo.
 
Vita na machafuko yanapokuwepo sehemu fulani, kuna wenzetu wananeemeka kwa kusambaza silaha kwa pande mbili hasimu...Wakichochea upande mmoja na kuhamasisha upande wa pili, ila lengo likiwa kunufaika tu na migogoro husika.
 
Ni kweli bwana mshana. Lakini nadhani hujanijibu swali langu!

nilifikiri utanielewa ni hivi biashara yoyote inayohusika na faida kubwa lakini pia kuangamiza uhai hufanyika kimagendo wenyewe wanaita black market, na hiyo black market hufanywa pia na mataifa makubwa, upande mmoja wanauza silaha, upande mwingine wanachonganisha upande mwingine kiunafiki wanasuluhisha, kumbuka nchi kama marekani uchumi wake unategemea mauzo ya silaha kwa asilimia kubwa. dunia bila vita bila magaidi bila maadui wamarekani watakufa njaa!!! TAFAKARI
 
Kabisaaaaaaa bwana mpuko
Na lazaid laiti kama kungekuwa na m2 au wa2 wanaojua kwa uwaz kabisa jinsi gani siraha zinawakuta hawa jamaa 2ngetumia nafasi hiyo kuziba u a wa ugaidi DUNIANI
 
Ni kama NGO jiulize faida anapata nani
 
nilifikiri utanielewa ni hivi biashara yoyote inayohusika na faida kubwa lakini pia kuangamiza uhai hufanyika kimagendo wenyewe wanaita black market, na hiyo black market hufanywa pia na mataifa makubwa, upande mmoja wanauza silaha, upande mwingine wanachonganisha upande mwingine kiunafiki wanasuluhisha, kumbuka nchi kama marekani uchumi wake unategemea mauzo ya silaha kwa asilimia kubwa. dunia bila vita bila magaidi bila maadui wamarekani watakufa njaa!!! TAFAKARI

Ahsante kwa ufafanuzi.
 
ingependeza wenye taarifa zaid watujuze ili tupate maarifa zaid juu ya swala hil
 
Habari zenu wakati jamvi.
Naomba kujuzwa. Hivi vikundi vya waasi, maharamia, magaidi nakadhalika. Huwa wanapata wapi silaha, mafunzo na vifaa vingine vya kijeshi? Huwa vinapitishwa wapi ili kuwafikia? Ni nani anaevifadhili na ni kwa faida ya nani? Kwa leo ni hayo.

na pia unakuta wanajeshi wanajitenga na hawawezi kujitenga bila kuondoka na vifaa vya kivita
 
Kuasi majeshi au kuanzishwa kikundi cha magaidi ina sababishwa na vitu vingi sana.

Inaweza kuwa ni maswala binafsi au vikundi vinaanzishwa na nchi nyingine ili kupata maslahi fulani sehemu husika.

Al-shabab na Boko Haramu ni vikundi vimeanzishwa kwa maslahi ya kidini hivyi ni jukumu lao kujua silaha wanapata wapi, by any means wananunua au wanapewa na michango inayokusanywa na dini husika.

M23 ni moja ya vikundi vilivyoanzishwa na nchi jirani kwa maslahi ya nchi nyingine, hivyo wanapewa na na hao walio waanzisha.

Kuna wale wanaohasi jeshini, hao wanaondoka na silaha jeshini.

I STAND TO BE CORRECTED
 
lazima ufahamu kuwa penye machafuko kuna watu wanaa nemeeka wana peleka ailaha huko.silaha zinatoka russia na america kwa wingi wao ndiyo arms dealer wakubwa.kwa hiyo hao watu wana smuggle silahaa na kuzingiza ktk nchi fulani.kifupi tu karibu kutafuta story ya victor bout jamaa alikuwa anauza silahaaa sehemu nyingi duniani.
 
lazima ufahamu kuwa penye machafuko kuna watu wanaa nemeeka wana peleka ailaha huko.silaha zinatoka russia na america kwa wingi wao ndiyo arms dealer wakubwa.kwa hiyo hao watu wana smuggle silahaa na kuzingiza ktk nchi fulani.kifupi tu karibu kutafuta story ya victor bout jamaa alikuwa anauza silahaaa sehemu nyingi duniani.

Huwa zinapitishwa wapi kuwafikia hao magaidi au hivyo vikundi vya waasi kwa maana ya ni njia gani hutumika kwasababu biashara hiyo ni haramu kuliko hata dawa za kulevya!
 
Back
Top Bottom