Nini adhabu yake

mr transcript

Member
Joined
Sep 27, 2012
Posts
56
Reaction score
7
Habari zenu wana memba naomba mnisaidie hili swala mim ni mwanafunz wa chuo kikuu cha mjin iringa mwaka wa 3 had sasa cjalipa ada kutokana na matatizo ya kifamilia na had sasa cjajua nin hatima yangu je kwa aliyeshindwa kulipa ada semister moja hukum yake ni ipi je nin nifanye ili niondokane na hili tatizo msaada plz
 

Kila chuo kina utaratibu wake ndg, kwa mfano chuo nilichosoma mimi hata kama hujamaliza kulipa examination fee paper unafanya ila results ndo hupati. Hivyo kupata jibu la swali lako itategemea na ufaham wa watu juu ya chuo unachosoma, but kwa ushauri wangu jaribu kuonana na uongozi wa chuo chako uwaeleze juu ya hayo matatizo yako ya kifamilia yanayokukabili and I hope kama ni serious case watakuelewa, tatizo vijana wa vyuo ckuhz usanii mwing ndo maana hamuaminiki hata mkiwa na serious problems. Ni hayo 2!
 


miaa mkuu atakua amekuelewa ata mimi ninavojua kwa watamuelewa na watamshauri ata afanye SPECIAL EXAM kwaio aende akaonane na uongozi wa chuo asa anzia kwa DEAN WAKO otherwise pole sana
 
Kwa nini kushindwa kulipa ada unaita adhabu?pole kaka,ndio familia zetu za kitanzania.tumezaliwa maskini,tutakufa maskini......labda miujiza itokee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…