Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
U.S. President Barack Obama walks out of the Bunch O Grapes bookstore
after shopping with his daughters in Vineyard Haven on Martha's Vineyard
in Massachusetts August 19, 2011. REUTERS/Kevin Lamarque
Viongozi wengi wa Kiafrika wakishapata madaraka makubwa huwa miungu wadogo kiwango cha kuhusuju utwa na utwana. Kiwango hiki cha Obama kwenye bookshop na watoto wake kununua vitabu tena toka pesa ya mfukoni viongozi wetu wanapaswa kujifunza. Na kwa vizito wetu wa kibongo hapo angefunikwa na utitiri wa viongozi wa ngazi zote kumpokea na kumsindikiza. Viongozi wetu wakishakabidhiwa kuongoza dola basi walipakodi wanawajibika kwa kila kitu hata kumnunulia wembe wa kunyolea ndevu, na kama ni mwanamke basi serikali itawajibika kuandaa saloon kwa gharama yo yote.