nini asili na maana ya neno ustaarabu?

TabletFellow

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
918
Reaction score
272
Wakuu... Naonba msaada wa neno "ustaarabu"

Nitafurahi tukijadili hilo neno, asili, definition na matumizi yake
 
Ustaaarabu unatofautiana kutokana na mila na tamaduni !kuna mahali ukifanya jambo fulani unaonekana si ustaarabu
Ustaarabu huambatana na hekima na heshima na adabu pia
Tabia njema kutopayukapayuka vyote hivi ni vichocheo vya ustaarabu
 
Asili yake ni enzi zile (kutokana na utumwa na ukandamizaji na waarabu kujiona / kuonekana kwamba ndio wapo civilized) basi ikawa mtu ukiwa civilized unaonekana umestaarabika just like arabs...

Source: Nilisikia hii story / historia kutoka kwa mtu sina uhakika kama ni kweli sababu sikuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…