Nini athari ya kujengea nyumba uzio au fence ni kukwepa kero kutoka jamii inayokuzunguka?

Nini athari ya kujengea nyumba uzio au fence ni kukwepa kero kutoka jamii inayokuzunguka?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Najua pesa Mara nyingi Ndo inaamua uishi maisha ya aina gani

Lakini tukienda kwenye mada Mimi naona kuzungushia nyumba ukuta ni kukwepa majukumu au kazi Mungu aliyotuletea

Nyumba zenye mageti kwa asilimia kubwa waishio humo huwa ni Kama wamejitenga na jamii kwa asilimia flani hivi, japo sio zote

Mfano upo katika matembezi Halafu ukapata uhitaji wa kitu iwe kuuliza au kitu, mbele yako pana nyumba mbili moja ya geti na nyingine ipo tu wazi sio ya geti, utaelekea upande upi ukatatue shida yako,

Nionavyo mimi kwa wale tunaoamini katika mungu ukijenga geti nyumba hupunguza wageni wapya zaidi wanabaki wale waliokuzoea tu muda mwingine hata majirani hupunguza kuingia au watoto kucheza pamoja
 
Faida kubwa yakuweka fence ni usalama watu wengine huwa wanaficha kiasi kikubwa cha pesa ndani kuna ambao pia wanafuga mifugo
 
Najua pesa Mara nyingi Ndo inaamua uishi maisha ya aina gani

Lakini tukienda kwenye mada Mimi naona kuzungushia nyumba ukuta ni kukwepa majukumu au kazi Mungu aliyotuletea

Nyumba zenye mageti kwa asilimia kubwa waishio humo huwa ni Kama wamejitenga na jamii kwa asilimia flani hivi, japo sio zote

Mfano upo katika matembezi Halafu ukapata uhitaji wa kitu iwe kuuliza au kitu, mbele yako pana nyumba mbili moja ya geti na nyingine ipo tu wazi sio ya geti, utaelekea upande upi ukatatue shida yako,

Nionavyo mimi kwa wale tunaoamini katika mungu ukijenga geti nyumba hupunguza wageni wapya zaidi wanabaki wale waliokuzoea tu muda mwingine hata majirani hupunguza kuingia au watoto kucheza pamoja
Faida na hasara zote zipo ktk kuweka uzio kwenye nyumba, lakini faida ni nyingi zaidi kuliko hasara.
Mojawapo ya faida ni kuongeza ulinzi wa mali na Wakaazi wa nyumba husika.
 
Wachawi,vibaka,fitina,nk hasara ni rahisi kuvamiwa kimya kimya wa nje wasijue
 
FAIDA ZAKE NI KUZUIA VIBAKA AU UDOKOZI MDOGO MDOGO PIA KUZUIA UHARIBIFU AMBAO UNGESABABISHWA NA MIFUGO YA MAJIRANI KUKUHARIBIA BUSTANI AU MAZAO PIA KUZUIA WATOTO WASUMBUFU WA MAJIRANI NK

HASARA ZAKE KWANZA NI KUPUNGUZA USHIRIKIANO NA MAJIRANI PIA LIKITOKEA TATIZO KAMA UGONJWA AU UGOMVI SIO RAHISI KUPATA MSAADA WA HARAKA.
IKITOKEA TATIZO LA UHALIFU NDANI KWAKO SIO RAHISI MAJIRANI KUTOA MSAADA SABABU HAWATAELEWA CHOCHOTE.
 
Wenzetu nje hawaweki uzio, ila huku kwetu kutokana na roho zetu nyeusi, inabidi kuweka uzio kuepusha shari.
 
vibaka na udokozi wa hapa na pale
pia kuingiliani kimipaka, unakuta jirani anajisahaulisha maji ya vyomba au ya kufua anakuja anamwaga kwako ( kwa wale wenye viwanja vidogo )
au kufanya compound yako njia ya watu kupita
 
Back
Top Bottom