Usimuulize msichana kama yupo single au hapana. we mchukue, mpeleke lunch, mfanye acheke, mpe hela!
Halafu yeye ndio ataamua kama yuko Single au[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji28] [emoji28]
Mimi huwa sihangaiki na kumchunga chunga msichana. Eti mara kushika shika simu yake. Ninachofanya ni kuwapa bata na attention za nguvu mpaka yeye mwenyewe anaona wale wanaume wengine taka taka. So anawaacha mwenyeweee!
Mimi huwa sihangaiki na kumchunga chunga msichana. Eti mara kushika shika simu yake. Ninachofanya ni **** bata na attention za nguvu mpaka yeye mwenyewe anaona wale wanaume wengine taka taka. So anawaacha mwenyeweee!