Hakim Seif
Member
- Mar 28, 2015
- 20
- 9
Habari za wiki?
Baada ya kudunduliza kwa muda nimefanikiwa kupata mtaji wa kufanya biashara ya kukodisha majenereta. Ni mambo gani muhimu ninatakiwa nizingatie ili nisije kujifunza the hard way? Namna ya kuendesha biashara, connections, aina ya jenereta za kununua n.k
Baada ya kudunduliza kwa muda nimefanikiwa kupata mtaji wa kufanya biashara ya kukodisha majenereta. Ni mambo gani muhimu ninatakiwa nizingatie ili nisije kujifunza the hard way? Namna ya kuendesha biashara, connections, aina ya jenereta za kununua n.k