Nini Chama? Kulikuwa na Emmanuel Anorld Okwi, Nteze John Lungu na wengineo!

Nini Chama? Kulikuwa na Emmanuel Anorld Okwi, Nteze John Lungu na wengineo!

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
1719345970416.png

Cloatus Chota Chama

Nikiwa shabiki wa Simba niliupenda uchezaji wa Chama lakini nimekuwa nakerwa mno na tabia yake ya kuzua sintofahamu kila unapofika wakati wa usajili.

Kwa tabia hii ni vizuri Kwa viongozi wa Simba wasibabaike na Hilo la Chama wamwache asuke au anyoe atajijua mwenyewe, kwani Simba ni Taasisi kubwa kumepita watu wa maana hapo, kulikuwa na Akina Okwi, Nteze John na wengi wengi Tu, na enzi zao zimepita na sasa nae Chama apite Tu nae tutamsahau.

Simba Nguvu Moja!

PIA SOMA
- Cloatus Chota Chama anataka mpunga mrefu ili kubaki Simba
 
Kwenye ujenzi wa timu ya ubingwa hivyo sizitaki mbichi hizi hazitosaidia, muhimu wenye dhamana wafanye iwavyovyote mwana abaki kikosini.
 
Nilianza kuwa mshabiki wa Simba tangu utotoni hadi leo iwe inayumba au ipo imara, Chama kitu gani bhana aondoke tu
 
Nikiwa shabiki wa Simba niliupenda uchezaji wa Chama lakini nimekuwa nakerwa mno na tabia yake ya kuzua sintofahamu kila unapofika wakati wa usajili.
Kwa tabia hii ni vizuri Kwa viongozi wa Simba wasibabaike na Hilo la Chama wamwache asuke au anyoe atajijua mwenyewe, kwani Simba ni Taasisi kubwa kumepita watu wa maana hapo, kulikuwa na Akina Okwi, Nteze John na wengi wengi Tu, na enzi zao zimepita na sasa nae Chama apite Tu nae tutamsahau.
Simba Nguvu Moja!
Chama anawatesa sana, mtalia Lia mnoo kama wendawazimu.
 
Nikiwa shabiki wa Simba niliupenda uchezaji wa Chama lakini nimekuwa nakerwa mno na tabia yake ya kuzua sintofahamu kila unapofika wakati wa usajili.

Kwa tabia hii ni vizuri Kwa viongozi wa Simba wasibabaike na Hilo la Chama wamwache asuke au anyoe atajijua mwenyewe, kwani Simba ni Taasisi kubwa kumepita watu wa maana hapo, kulikuwa na Akina Okwi, Nteze John na wengi wengi Tu, na enzi zao zimepita na sasa nae Chama apite Tu nae tutamsahau.

Simba Nguvu Moja!
Naongezea; alikuwepo Zamoyoni Mogella. Huyu alikuwa ni nembo ya Simba. Simba tulimpenda na yeye alitupenda. Mwishoni mwa enzi zake akaenda Yanga. Simba tulimbariki aende huko Yanga akutakako. Leo Mwana Simba gani anajua kuwa Mogella alikuwa Simba? Je, Kuna Mwana Yanga anajivunia kuwa Mogella alicheza Yanga? Nini Chlatus Chota Chama?
 
Kizazi cha 2000 hukiambii kitu kuhusu Chama ila kwa miaka ya karibuni, hakuna mchezaji ambaye hakuwa na maringo ya kipuuzi ila alikuwa ktk form nzuri sana Simba kama Emmanuel OKWI.

Pili, mimi sioni sababu Yanga kumchukua Chama, kwa mpira gani sasa ambao anao? Kama anawasumbua hivi Simba, hata sisi Yanga atakuja kutusumbua tu huyu jamaa, aachwe tu aende nje ya TZ akatafute changamoto zingine.
 
Kwenye ujenzi wa timu ya ubingwa hivyo sizitaki mbichi hizi hazitosaidia, muhimu wenye dhamana wafanye iwavyovyote mwana abaki kikosini.
Hakuna ' Sizitaki mbichi hizi' Ukweli utabaki ni ukweli Tu! Kila kitu na wakati wake na kila wakati na kitu chake! ukiwa mwelewa ahutababaika na na suala la yeyote anayetaka kuondoka na si Chama Tu! Tutamsahau tu! Na timu itajengwa na itakuwa imara Tu.
 
Hakuna ' Sizitaki mbichi hizi' Ukweli utabaki ni ukweli Tu! Kila kitu na wakati wake na kila wakati na kitu chake! ukiwa mwelewa ahutababaika na na suala la yeyote anayetaka kuondoka na si Chama Tu! Tutamsahau tu! Na timu itajengwa na itakuwa imara Tu.
View attachment 3026239
Cloatus Chota Chama

Nikiwa shabiki wa Simba niliupenda uchezaji wa Chama lakini nimekuwa nakerwa mno na tabia yake ya kuzua sintofahamu kila unapofika wakati wa usajili.

Kwa tabia hii ni vizuri Kwa viongozi wa Simba wasibabaike na Hilo la Chama wamwache asuke au anyoe atajijua mwenyewe, kwani Simba ni Taasisi kubwa kumepita watu wa maana hapo, kulikuwa na Akina Okwi, Nteze John na wengi wengi Tu, na enzi zao zimepita na sasa nae Chama apite Tu nae tutamsahau.

Simba Nguvu Moja!

PIA SOMA
- Cloatus Chota Chama anataka mpunga mrefu ili kubaki Simba
Uko sahihi mkuu!YANGA Kaondoka Feisal na maisha yanaendelea, kaondoka Mayele na maisha yanaendelea!lkn Simba wanampa Chama umuhimu ambao wanahisi akiondoka hana replacement
 
Mashabiki wa simba mbona mnamuongelea sana huyo Chama! Mara amesajiliwa Yanga, mara anataka mpunga mrefu!! Shida iko wapi?
 
Kwenye ujenzi wa timu ya ubingwa hivyo sizitaki mbichi hizi hazitosaidia, muhimu wenye dhamana wafanye iwavyovyote mwana abaki kikosini.
Huu utakuwa ni zaidi ya ujinga na upumbavu wa kiwango cha juu
 
Back
Top Bottom