Chanzo cha mahusiano kudumu au kutodumu inategemeana na mpendaji kuliko mpedwaaa
1.kama mpendaji alikupendea pesa siku ukiishiwa na penzi limeisha
2.kama mpendaji alikupendea kazi uliyonayo siku ikiondoka na yeye anaondoka
3.kama mpendaje amekipendea tabia basi siku ukianza kibadilika na ndio mwisho wako