SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Habari zenu wandugu? Hili tatizo la baadhi ya watu kuondoa herufi 'h' kwenye maneno linazidi kukua. Kila siku nakutana na maneno haya: ataki badala ya hataki, uyu badala ya huyu, awezi badala ya hawezi nk.Bila shaka hata wewe umeshakutana na maneno ya aina hiyo. Je, watu wanafanya kwa makusudi au ni kweli wana matatizo na herufi 'h'? Chanzo chake nini?