Nini chanzo cha kusinyaa kwa korodani ?

uko sehemu gani? kama kuna baridi kama nchi za nje, huwa ni sababu pia.
 
zinafanya adaptation kutokana na mahitaji yake,mfano kwenye joto mfuko wa pumbu(skrotam) husinya na kuzifanya kende ziwe mbali na joto la mwili ili zifanye kazi yake vizuri,kunyume chake hutokea wakati wa baridi ambapo mfuko wa pumbu hukontrakti
 
I mean inasinyaa kabisa , ile goroli linapungua size inakuwa ndogo mithili ya punje ya harage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…