Nini chanzo cha mpasuko kati ya Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto?

Nini chanzo cha mpasuko kati ya Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto?

Underwood

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
1,909
Reaction score
3,120
Wengi wetu tunafahamu kuwa Kenya ipo katika vuguvugu la uchaguzi mkuu utakao fanyika tarehe 9 August mwaka huu (2022).

Katika harakati hizi za uchaguzi ni wazi kuwa mchuano ni mkali kati ya kiongozi wa upinzani wa muda mrefu nchini Kenya, Raila Odinga 'Baba' na makamu wa Rais, William Ruto 'Hustler'.

William Ruto ni makamu wa Rais anaye maliza muda wake, Uhuru Kenyatta. Safari ya kisiasa kati ya hawa wawili ilishika hatamu na kupelekea kushinda katika uchaguzi mkuu uliofanyika March 2013 ambapo kwa pamoja walishinda kinyang'anyiro cha Urais kwa asilimia 50.51% dhidi ya Raila Odinga na Kalonzo Musyoka.

IMG_4394.jpg

[Ruto and Uhuru 2013]

Fast forward mwaka 2017 Uhuru Kenyatta na William Ruto walichaguliwa kwa mara nyingine tena baada ya uchaguzi kufanyiwa marudio kwa amri ya mahakama. Ni wazi hadi kufikia hapa bado uhusiano kati yao ulikuwa mzuri na ndiyo maana Ruto alikuwa mgombea mwenza na kisha makamu wa Rais.

IMG_4393.jpg

[Uhuru and Ruto]

Katikati ya mwaka 2019 palianza kuzuka kwa taarifa za kuwepo kwa ufa kati ya Rais Uhuru na makamu wake William Ruto huku chanzo cha ufa kikiwa hakipo wazi sana hasa kwa wale wanao fuatilia siasa za Kenya.


Sasa ni mwaka 2022 huku uchaguzi mkuu wa Kenya ukikaribia, ufa katika uhusiano kati ya watu hawa wawili ambao hapo mwanzo walikuwa marafiki wakumbwa walio kuwa pamoja katika shida na raha (mfano kesi ya ICC) sasa umegeuka na kwa mpasuko mkubwa ambao sio rahisi kuuziba na unaonekana wazi kabisa.

Baada ya kuanza kwa harakati za uchaguzi wa mwaka 2022, Rais Uhuru Kenyatta ameonyesha mara nyingi kile kinacho itwa kumuunga mkono waziwazi mpinzani namba moja wa Ruto katika kinyang'anyiro cha Urais, Raila Odinga huku zaidi ya mara moja Kenyatta amekuwa akitoa kauli zisizo za moja kwa moja zinazo mlenga William Ruto jambo linalo dhoofisha kwa namna moja au nyingine safari ya Ruto katika kuusaka urais.

Tanzania tumewahi kuona/kuhisi ufa kati ya pande mbili wakati wa safari ya kuutafuta urais baina ya miamba mbalimbali ya siasa lakini sio mashambulizi ya waziwazi baina yao.

IMG_4398.jpg

[Uhuru and Ruto]

Swali langu (na kwa niaba ya wengi):
NINI CHANZO CHA MPASUKO HUU HADI KUPELEKEA UHURU KENYATTA KUMPIGA VITA WAZI WAZI (ALIYEWAHI KUWA) RAFIKIYE WILLIAM RUTO?

Karibuni, nawasilisha.

IMG_4396.jpg


IMG_4390.jpg




 
Kwenye siasa kuna unafiki mwingi sana hata mimi nashangaa na kushikwa na butwaa inakuaje mtu aliyekusaidia kuupata urais unashindwa na wewe kumsaidia na njia yenu iwe moja kuiinua Kenya
 
Ruto anataka kujitenga na ajenda zilizofeli wakiwa pamoja na Uhuru, maana akiaambatana nazo atashindwa kuomba ridhaa ya kugombea uraisi. So anataka kuuonyesha umma kwamba kama angekuwa zaidi ya makamu basi angetatua changamoto zote kitu ambacho uhuru anaona ni U snitch wakati walikuwa wote kwenye Serikali.
 
Tatizo ni handshake na BBI....na isitoshe Raira ni mgomvi. Aliwahi kujiapisha pale uhuru park kwamba yeye Ndio raise wa Kenya....aliapishwa na miguna miguna, huu ni uhaini. Ruto alipoona Kenyatta anamkumbatia huyu mzee akaona heshima yake isijeharibika Bora akae kando mapema. Na ikumbukwe kipindi Cha kesi ilokuwa inamkabiri Uhuru Kenyatta Kyle the Hegue ni Ruto pekee ndo alisi.ama nae mpaka Hali ikatulia.
Wakenya haya yote wanajajua na mda SI mrefu Kuna jitu litapasuka.
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo Serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.

Uwe unataka hutaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.

Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.

Ni sawa na Vatican, Vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.

Kwanini kambi ya Raila itashinda.
1. Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.

2. Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi, wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.

3. Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.

4. Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.

5. Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.

6. Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.

7. Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.

Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii. RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.Upige kura usipige kura tayari wakubwa wa Dunia walishapanga Odinga
 
Nilii
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo Serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.

Uwe unataka hutaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.

Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.

Ni sawa na Vatican, Vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.

Kwanini kambi ya Raila itashinda.
1. Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.

2. Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi, wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.

3. Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.

4. Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.

5. Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.

6. Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.

7. Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.

Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii. RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.Upige kura usipige kura tayari wakubwa wa Dunia walishapanga Odinga
Nilijifunza hii post.

Nataka nikwambie tu,Mungu ndo muweza wa Yote!!
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo Serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.

Uwe unataka hutaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.

Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.

Ni sawa na Vatican, Vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.

Kwanini kambi ya Raila itashinda.
1. Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.

2. Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi, wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.

3. Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.

4. Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.

5. Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.

6. Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.

7. Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.

Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii. RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.Upige kura usipige kura tayari wakubwa wa Dunia walishapanga Odinga
Muda umekuumbua
 
Back
Top Bottom