Nini chanzo cha umasikini na ufukara wa Waafrika?

Nini chanzo cha umasikini na ufukara wa Waafrika?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Tuache masihara ndugu zangu, Waafrika wengi ni maakini na wengine ni mafukara.

Achana na media ambazo zimejaa picha za vijana wa Kiafrika wanaopiga picha kwenye malls kubwa na maofisini.

Ukirudi nyuma kutazama uhalisia utagundua kuwa Afrika imegubikwa na ufukara mkuu.

Malazi duni, mavazi duni, vyakula vya shiida, usafiri bado ni changamoto.

Nini sababu kamili ya hili janga la umaskini na ufukara Afrika?

Samahani hapa chini nimeweka picha ya mtoto kabeba kinu cha kutwangia nafaka.

Picha hii inaleta tafsiri nyingi sana.
FB_IMG_16122519388228556.jpg
 
Kwa upande wa kiimani maskini na tajiri ni mipango ya Mwenyezi Mungu, Kwa akili zetu ni wakoloni! mpaka sasa bado wanatutawala.
 
Umasikini wa Africa ni sababu ya viongozi wabinafsi na walafi wa madaraka kama hawa wa kwetu tulio nao kwa sasa. Imagine mtu anaota kijiji chake kiwe kama jiji la huko China? Tungepata uhuru akabahatika yeye ndiyo rais ungekuta hata Capitol city ni Chato
 
We suffer from our fathers mistakes
 
Tupo tayari kukaa kijiweni siku nzima, lakini siyo kuchunga hata vimbuzi vyako ishirini kwa masaa mawili tu kwa siku
 
Back
Top Bottom