Nini chanzo cha vita ya kagera?

A good analysis! Congratulation for knowing the history!
 
"Nakuomba sana usiingize DINI harakaharaka angalia pande zote vaa na wewe uhusika uone kama wewe ndo ungekuwa Nyerere ungemtendeaje Rafiki yako Dhidi ya ADUI yake????."


Jamana watu mmeomba historia, mtu anaelezea jinsi anavyoelewa anakosolewa, ungeleelezea wewe basi kama vip.
 
Tukiacha ushabiki Ukweli nyerere alikosea sana na ndie alieanza uchokozi.
 
Sasa mbona kuna upinzan zidi ya historia!!yaan nataka kujua Nyerere alianzisha uchokoz kivipi??
 
Hakuna uchokozi wowote uliofanyika hapo
katika sheria za kimataifa zinaruhusu utumiaji wa nguvu pindi ukivamiwa. Kwa kuwa idd amin alikuwa amevuka mpaka na kukalia eneo la tanzania tanzania ilikuwa na uhalali wa kuzuia hali hiyo kutumia nguvu kumwondosha adui huyo
Kosa pekee tanzania ililolifanya ni kutoomba kibali umoja wa mataifa kabla ya kutumia nguvu kwa kuwa sheria za kimataifa zinahitaji nchi inayotaka kutekeleza haki ya self defence kupata baraka za UN
 

Hii sheria imekaa kimangungo kabisa. Yaani nivamiwe na jambazi kwangu halafu nikimbie kwa balozi kuomba idhini ya kupambana naye! Si narudi nakuta jambazi kabeba si mali zangu tu bali hata mke na watoto! Imekaa kushoto aisee.
 
Hii sheria imekaa kimangungo kabisa. Yaani nivamiwe na jambazi kwangu halafu nikimbie kwa balozi kuomba idhini ya kupambana naye! Si narudi nakuta jambazi kabeba si mali zangu tu bali hata mke na watoto! Imekaa kushoto aisee.

lengo la sheria hii ni kuzuia nchi zenye nguvu kuvamia kiuchokozi nchi dhaifu kwa kosa dogo ambalo linaweza kutatuliwa mezani ambalo madhara yake ni madogo kiasi cha kuanzisha vita au kitendo kilichotokea mara moja ambacho hakina mpango kuendelea.


Hii sheria imekaa kimangungo kabisa. Yaani nivamiwe na jambazi kwangu halafu nikimbie kwa balozi kuomba idhini ya kupambana naye! Si narudi nakuta jambazi kabeba si mali zangu tu bali hata mke na watoto! Imekaa kushoto aisee.
 
Kumbuka baada ya kuyaondoa majeshi ya Amin nchimi Tanzania waasi waliokuwa wanampinga Amin na walikuwa tayari wanataka kumtoa Amin madarakani JWTZ ilifanya tu kuwasaidia kumtoa Amin hivyo Tanzania hatukuwa na haja ya kuomba kibali UN.
 
Sasa mbona kuna upinzan zidi ya historia!!yaan nataka kujua Nyerere alianzisha uchokoz kivipi??

Mtake msitake Late Nyerere ndie mchokozi. Huwezi kufuga wapinzani kwako wakapindue nchi ingine. Halafu late IdiAmini atulie tu.
Baada ya Rais Obote na ndg yake yule General wa jeshi kukimbizwa Uganda walikuja ishi TZ na mwalimu alihakikisha wanapata kila kitu kijeshi ili wakamtoe Amin.
Haikuwa Kazi rahisi kwani Amin alikuwa na uwezo mkubwa kijeshi.
Urafiki wa Nyerere na Obote ndo umetuponza economically hadi leo, kwa kuingiza nchi vitani bila tija yoyote. Angalia Mwalimu alivyoitengeneza hii vita.
Mwaka 1977, kulifanyika mazoezi ya Brigade zote kitu ambacho hakikuwahi tokea tangu kupatikana kwa uhuru.
1978, yakafanyika tena, pale Arusha, this time hali ilikuwa tofauti. Mh. Rais JK alifika hapo na akatangaza vita.
Baada ya vita JK akawa anajipanga jinsi ya kumrudisha Obote madarakani, kama mtakumbuka, baraza la kijeshi, Binaisa, Yusuf Lule n.k. Waganda hawakumtaka kabisa Obote pamoja na udikteta wa Mwalimu wa kuwachagulia Rais.
 
Iddi Amini hakutakiwa na Waingereza na Waisrail. Nyerere alisaidiwa sana kwenye vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…