matunduizi JF-Expert Member Joined Aug 20, 2018 Posts 7,968 Reaction score 19,368 Jan 17, 2025 #1 Wanaume sio sana, ila kwa utafiti wangu wanawake, Wanafunzi na watoto wadogo wa kike na wa kiume wanapenda chakula hiki kuliko kitu chochote. Tena cha ajabu hata wakipikiwa nyumbani wanasema za nyumbani sio tamu. Cha ajabu zaidi hata uwatoe watu mikoani waliozoea ugali wa udaga au mtama ndani ya mwezi tu na wao wanakuwa wahanga wa chakula hicho. Chanzo ni nini? Ilitokeaje hiki chakula kikawa na nguvu kubwa kiasi hiki au ni dunia nzima kwenye miji mikubwa hali huwa hivyo? Ni hayo tu.
Wanaume sio sana, ila kwa utafiti wangu wanawake, Wanafunzi na watoto wadogo wa kike na wa kiume wanapenda chakula hiki kuliko kitu chochote. Tena cha ajabu hata wakipikiwa nyumbani wanasema za nyumbani sio tamu. Cha ajabu zaidi hata uwatoe watu mikoani waliozoea ugali wa udaga au mtama ndani ya mwezi tu na wao wanakuwa wahanga wa chakula hicho. Chanzo ni nini? Ilitokeaje hiki chakula kikawa na nguvu kubwa kiasi hiki au ni dunia nzima kwenye miji mikubwa hali huwa hivyo? Ni hayo tu.
Jay_255 JF-Expert Member Joined Sep 26, 2014 Posts 743 Reaction score 1,305 Jan 17, 2025 #2 kila jamii ina chakula pendwa..nashangaa bongo.dar es salaam kuona chips ndio chakula pendwa imekuwa ajabu..wakati ni viazi tu vilivyo katwakatwa
kila jamii ina chakula pendwa..nashangaa bongo.dar es salaam kuona chips ndio chakula pendwa imekuwa ajabu..wakati ni viazi tu vilivyo katwakatwa
Dogoli kinyamkela JF-Expert Member Joined Nov 21, 2024 Posts 618 Reaction score 1,440 Jan 17, 2025 #3 Hi inatokana na mzunguko wa maisha na hali ya uchumi usika sehem husika,Kwa bongo chakula kikubwa n chipsi ama juice na mkate/biskut life inasonga
Hi inatokana na mzunguko wa maisha na hali ya uchumi usika sehem husika,Kwa bongo chakula kikubwa n chipsi ama juice na mkate/biskut life inasonga
matunduizi JF-Expert Member Joined Aug 20, 2018 Posts 7,968 Reaction score 19,368 Jan 17, 2025 Thread starter #4 Jay_255 said: kila jamii ina chakula pendwa..nashangaa bongo.dar es salaam kuona chips ndio chakula pendwa imekuwa ajabu..wakati ni viazi tu vilivyo katwakatwa Click to expand... Labwa kwa sababu ya ubize na uharaka wa mambo pia.
Jay_255 said: kila jamii ina chakula pendwa..nashangaa bongo.dar es salaam kuona chips ndio chakula pendwa imekuwa ajabu..wakati ni viazi tu vilivyo katwakatwa Click to expand... Labwa kwa sababu ya ubize na uharaka wa mambo pia.
Monetary doctor JF-Expert Member Joined Oct 20, 2022 Posts 3,711 Reaction score 6,762 Jan 17, 2025 #5 BRAZA CHOGO Mimi toka nifike dasalamu sijawahi kula chips mayai sijui sosejii pizza walla bugaa toka kuzaliwa pia..... zaidi chips kuku ama na nyama iliyochomwa nakula fresh kabisa Ila hizo mayai hata sitaki kuona
BRAZA CHOGO Mimi toka nifike dasalamu sijawahi kula chips mayai sijui sosejii pizza walla bugaa toka kuzaliwa pia..... zaidi chips kuku ama na nyama iliyochomwa nakula fresh kabisa Ila hizo mayai hata sitaki kuona
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 20,704 Reaction score 66,337 Jan 17, 2025 #6 mkuu mbona hata huku mikoani wanapenda? ndo chakula chao mkuu nadharia yangu ni kwamba, kwavile chipsi zinanenepesha, na mtazamo wa wengi ni kwamba wanaume wanatakiwa wawe wakakamavu sio wanene, basi chipsi zikaonekana zinawafaa zaidi wanawake
mkuu mbona hata huku mikoani wanapenda? ndo chakula chao mkuu nadharia yangu ni kwamba, kwavile chipsi zinanenepesha, na mtazamo wa wengi ni kwamba wanaume wanatakiwa wawe wakakamavu sio wanene, basi chipsi zikaonekana zinawafaa zaidi wanawake