de98 JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 737 Reaction score 759 Mar 22, 2019 #1 Naomba kufahamu kwa yeyote anaejua. Nimejaribu ku-Google lakini sijapata ufumbuzi wa hili gonjwa, maana huwa napata changamoto kuujua kiundani huu ugonjwa huwa naufananisha na mshipa wa ngiri. Natanguliza shukrani
Naomba kufahamu kwa yeyote anaejua. Nimejaribu ku-Google lakini sijapata ufumbuzi wa hili gonjwa, maana huwa napata changamoto kuujua kiundani huu ugonjwa huwa naufananisha na mshipa wa ngiri. Natanguliza shukrani
sheremaya JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 3,334 Reaction score 7,651 Mar 22, 2019 #2 Najua inakutokea ukiwaza sana ngono wakati hauna wakutolea nyege zako
de98 JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 737 Reaction score 759 Mar 22, 2019 Thread starter #3 sheremaya said: Najua inakutokea ukiwaza sana ngono wakati hauna wakutolea nyege zako Click to expand... Hapana umefikilia siko!
sheremaya said: Najua inakutokea ukiwaza sana ngono wakati hauna wakutolea nyege zako Click to expand... Hapana umefikilia siko!