Nini chanzo na tiba ya maumivu ya misuli ya miguu (muscle cramps)?

Nini chanzo na tiba ya maumivu ya misuli ya miguu (muscle cramps)?

jacquejaytee

Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
46
Reaction score
27
Habari wanajukwaa,

Nina mzazi wangu mwenye umri wa 57 y.o anasumbuliwa sana na tatizo la misuli ya miguu kuuma yaan inakaza na kuachia kwa muda mrefu na hali hii humtokea mara nyingi jioni kuanzia saa moja mpka usingizi utakapo mchukua.

Ni hali inayojirudia kila siku mpaka imefikia hatua ameanza kuelewa namna ya kupunguza shambulio hilo kwa Imani yake kwamba asipokula au kushiba usiku huwa analala vizuri ila akila tu ndio atakesha akiuguza maumivu makali ya misuli hiyo kukaza.

Sasa nimefikia uamuzi wa kumpeleka hospital mana naona ni tatizo linalojirudia huenda ikawa ana shida kubwa! Hivyo naomba wajuzi wa huu ugonjwa wanisaidie mambo yafuatayo:

1. Hospitali ni ugonjwa unaotibiwa na madaktari wa kitengo gani?
2. Hizi zinaweza kuwa dalili za nini? Kwa ambae ameshapitia ugonjwa kama huu
3. Kisababishi cha huu ugonjwa ni kipi? (Mana siamini kama ni kweli kwamba akishiba usiku ndio kunampa maumivu haya)
4. Ukiacha tiba atakayopewa hosp.nini kifanyike kuzuia hali hii kujitokeza na pia kipindi amepata shambulio hilo afanye nini kueasy maumivu ya wakati huo?
 
Habari wanajukwaa,

Nina mzazi wangu mwenye umri wa 57 y.o anasumbuliwa sana na tatizo la misuli ya miguu kuuma yaan inakaza na kuachia kwa muda mrefu na hali hii humtokea mara nyingi jioni kuanzia saa moja mpka usingizi utakapo mchukua.

Ni hali inayojirudia kila siku mpaka imefikia hatua ameanza kuelewa namna ya kupunguza shambulio hilo kwa Imani yake kwamba asipokula au kushiba usiku huwa analala vizuri ila akila tu ndio atakesha akiuguza maumivu makali ya misuli hiyo kukaza.

Sasa nimefikia uamuzi wa kumpeleka hospital mana naona ni tatizo linalojirudia huenda ikawa ana shida kubwa! Hivyo naomba wajuzi wa huu ugonjwa wanisaidie mambo yafuatayo:

1. Hospitali ni ugonjwa unaotibiwa na madaktari wa kitengo gani?
2. Hizi zinaweza kuwa dalili za nini? Kwa ambae ameshapitia ugonjwa kama huu
3. Kisababishi cha huu ugonjwa ni kipi? (Mana siamini kama ni kweli kwamba akishiba usiku ndio kunampa maumivu haya)
4. Ukiacha tiba atakayopewa hosp.nini kifanyike kuzuia hali hii kujitokeza na pia kipindi amepata shambulio hilo afanye nini kueasy maumivu ya wakati huo?
Pole sana na hongera kwa kufikia uamuzi mzuri wa kumpeleka hospital.

Kwa umri wake wa uzee kuna magonjwa mengi ya misuli na mifupa amabayo huwapata. Maumivu ya misuli huashiria magonjwa mengi tu ambayo hutibika baada ya kufanya vipimo, kwa hiyo ni vigumu kujua moja kwa moja ugonjwa wake bila vipimo.

Kama mpo karibu na hospital kubwa basi akaonane na daktari bingwa wa mifupa (orthopedics surgeon). Atachunguzwa, atapimwa na kupatiwa matibabu sahihi baada ya tatizo/ugonjwa kubainika. Kisababishi na namna ya kuepuka mtaambiwa huko huko baada ya kubaini ugonjwa/tatizo linalomsumbua.
Kila lakheri.
 
Habari wanajukwaa,

Nina mzazi wangu mwenye umri wa 57 y.o anasumbuliwa sana na tatizo la misuli ya miguu kuuma yaan inakaza na kuachia kwa muda mrefu na hali hii humtokea mara nyingi jioni kuanzia saa moja mpka usingizi utakapo mchukua.

Ni hali inayojirudia kila siku mpaka imefikia hatua ameanza kuelewa namna ya kupunguza shambulio hilo kwa Imani yake kwamba asipokula au kushiba usiku huwa analala vizuri ila akila tu ndio atakesha akiuguza maumivu makali ya misuli hiyo kukaza.

Sasa nimefikia uamuzi wa kumpeleka hospital mana naona ni tatizo linalojirudia huenda ikawa ana shida kubwa! Hivyo naomba wajuzi wa huu ugonjwa wanisaidie mambo yafuatayo:

1. Hospitali ni ugonjwa unaotibiwa na madaktari wa kitengo gani?
2. Hizi zinaweza kuwa dalili za nini? Kwa ambae ameshapitia ugonjwa kama huu
3. Kisababishi cha huu ugonjwa ni kipi? (Mana siamini kama ni kweli kwamba akishiba usiku ndio kunampa maumivu haya)
4. Ukiacha tiba atakayopewa hosp.nini kifanyike kuzuia hali hii kujitokeza na pia kipindi amepata shambulio hilo afanye nini kueasy maumivu ya wakati huo?
Kwa maelezo uliotoa. Chanzo huenda ni Mfumo wa chakula ( mitabollic disoder)

Natumaini hospital wamekupa mwongozo
 
Back
Top Bottom