Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,156
Ni vizuri kuelimishana katika mambo mbalimbali kama haya kwani kimsingi elimu haina mwisho. Zaman nilidhan magonjwa hubeba majina ya visababishi vya ugonjwa huo, Lakin kuna baadhi ya magonjwa hayahusiani kabisa na visababishi vya magonjwa hayo. Kwa mfano: Malaria, ulcers, ebora, n.k! Je, yamebeba majina ya wagunduzi au majina yametoka wapi!?