K KING 2GB Member Joined Dec 5, 2014 Posts 9 Reaction score 4 Dec 7, 2014 #1 Habari wana Jf? Naomba msaada wa dawa asilia ya chunusi, Asanteni
K KING 2GB Member Joined Dec 5, 2014 Posts 9 Reaction score 4 Dec 7, 2014 Thread starter #2 Msaada tafadhali jamani
geniusbaraka JF-Expert Member Joined Aug 1, 2014 Posts 795 Reaction score 155 Dec 9, 2014 #3 Kunywa maj meng na mazoez kwa sana punguza kula vyakula vyenye mafuta
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Dec 10, 2014 #4 Asali+mdalisi wa unga kamulia na limao kdg...safisha sehem yrnye chunusi pakaa then nawa na maji ya u uguvugu
Asali+mdalisi wa unga kamulia na limao kdg...safisha sehem yrnye chunusi pakaa then nawa na maji ya u uguvugu
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,682 Reaction score 98,253 Dec 10, 2014 #5 farkhina said: Asali+mdalisi wa unga kamulia na limao kdg...safisha sehem yrnye chunusi pakaa then nawa na maji ya u uguvugu Click to expand... Hope ulimaanisha mdalasini wa unga da farkhina Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
farkhina said: Asali+mdalisi wa unga kamulia na limao kdg...safisha sehem yrnye chunusi pakaa then nawa na maji ya u uguvugu Click to expand... Hope ulimaanisha mdalasini wa unga da farkhina