Nini dawa ya jipu?

Nini dawa ya jipu?

chrisbleez

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
752
Reaction score
1,239
Mwenye kujua dawa ya jipu iwe ya kisasa au ya kienyeji tafadhali aniambie kuna jipu eneo langu la kalio la kulia kwa juu tuelewane hapo, si katikati ni la kulia kwa juu nakaribisha majibu na natanguliza shukurani.

I hope mtanisaidia.
 
Paka spirit ukimaliza kupaka chukua na dawa ya meno ili kulifanya liive subiri kwa siku kadhaa then litumbue uo ndo utakua mwisho wa season 1 subiri season ya 2
 
Paka spirit ukimaliza kupaka chukua na dawa ya meno ili kulifanya liive subiri kwa siku kadhaa then litumbue uo ndo utakua mwisho wa season 1 subiri season ya 2
Ahsante kwa ushauri.
 
DAWA YA JIPU NI KULITUMBUA MKUU,NADHANI HII KAZI INAMFAA SANA JPM,INGEKUWA VEMA UKAJISOGEZA PALE MAGOGONI
 
Waweza paka kitunguu swaum alafu subiri for two days au zaidi, ukiona mpaka tako limenenepa na kuwa zito zito ujue mzigo umeiva mtegeshee mtumbuaji alitumbue na kukuminya kisawa sawa mpaka mbegu itoke. Then safisha vizuri waweza weka plasta usichafue boksa alafu piga kazi.
 
Hahahahaha!ahsante mkuu
Waweza paka kitunguu swaum alafu subiri for two days au zaidi, ukiona mpaka tako limenenepa na kuwa zito zito ujue mzigo umeiva mtegeshee mtumbuaji alitumbue na kukuminya kisawa sawa mpaka mbegu itoke. Then safisha vizuri waweza weka plasta usichafue boksa alafu piga kazi.
 
Back
Top Bottom