SuperImpressor
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,505
- 648
Kama tunavyojua, mwaka una majira tofauti, na hivyo iwe kiangazi, kipupwe, vuli au masika, watu huwa tunaendelea kuchapa kazi ili mkono ufike kinywani.
Sasa swali langu ni kama hivyo linavyosomeka hapo juu.
Ila mimi binafsi napenda sana ujenzi wa nyumba ufanyike wakati wa kipindi cha mvua ambayo si nyingi ili ubaridi wa kipindi hicho usaidie cement iliyotumika kujengea iwe imara sana kuliko cement iliyojengewa wakati wa jua kwa sabababu inalazimishwa kukauka kabla ya muda wake.
Naomba kujua kama mawazo yangu hayo yako sawa au si sawa.
Sent from my cupboard using mug
Sasa swali langu ni kama hivyo linavyosomeka hapo juu.
Ila mimi binafsi napenda sana ujenzi wa nyumba ufanyike wakati wa kipindi cha mvua ambayo si nyingi ili ubaridi wa kipindi hicho usaidie cement iliyotumika kujengea iwe imara sana kuliko cement iliyojengewa wakati wa jua kwa sabababu inalazimishwa kukauka kabla ya muda wake.
Naomba kujua kama mawazo yangu hayo yako sawa au si sawa.
Sent from my cupboard using mug