Nini faida na hasara za kubaki au kuuvunja muungano wetu?

Nini faida na hasara za kubaki au kuuvunja muungano wetu?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1686712387249.png
Si mara ya kwanza kwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuzua manung'uniko na hata ushauri kuwa ima uvunjwe au urekebishwe. Wapo, hasa Wanzibri, wanaoona kama Zanzibar imemezwa na Bara.

Pia, wapo, hasa watu toka Bara, kuwa Zanzibar inapendelewa. Wanadhani ilipaswa kuwa kama si wilaya basi mkoa wa Tanzania.

Hawa ni wale wanaotaka serikali moja ambayo kimsingi, si chaguo la watawala. Hivi karibuni baada ya rais Samia S Hassan'kuuza' bandari ya Dar kama wengi wanavyosema, hisia na malalamiko juu ya muungano yamepamba moto. Wapo wanaosema eti wanaouza bandari wote ni Wazanzibari jambo ambalo kidogo si kweli. Kwani, kama bugne litaridhia, nalo litakuwa la wazanzibari?

Bila kuchelewesha mada na kupoteza muda, naomba tujadiliane madhara ya kukaa na muungano au kuuvunjilia mbali ili kila nchi ichukue hamsini zake. Naomba kutoa hoja.

1686712460350.png
 
Kuongelea kuvunja muungano ni treason.

Mbarawa kwa ku disregard maritime issues na kusaini waraka bila kuhusisha bandari za kwao, tayari amevunja katiba na anapaswa AWAJIBISHWE.

Mambo ya bandari Ni Mambo ya muungano, iweje ahusishe bandari za kwetu tu aache za kwao?
 
Huu Muungano ukiendekea kubaki, Tanganyika itaendelea tu kuumia. Maana mnufaika mkubwa ni Zanzibar. Hivyo ukivunjika, walau nchi yetu ya Tanganyika sasa itapumua.
 
Tusigawanyike jaman,waliotuunganisha walikuwa na maana.....
 
Si mara ya kwanza kwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuzua manung'uniko na hata ushauri kuwa ima uvunjwe au urekebishwe. Wapo, hasa Wanzibri, wanaoona kama Zanzibar imemezwa na Bara.

Pia, wapo, hasa watu toka Bara, kuwa Zanzibar inapendelewa. Wanadhani ilipaswa kuwa kama si wilaya basi mkoa wa Tanzania.

Hawa ni wale wanaotaka serikali moja ambayo kimsingi, si chaguo la watawala. Hivi karibuni baada ya rais Samia S Hassan'kuuza' bandari ya Dar kama wengi wanavyosema, hisia na malalamiko juu ya muungano yamepamba moto. Wapo wanaosema eti wanaouza bandari wote ni Wazanzibari jambo ambalo kidogo si kweli. Kwani, kama bugne litaridhia, nalo litakuwa la wazanzibari?

Bila kuchelewesha mada na kupoteza muda, naomba tujadiliane madhara ya kukaa na muungano au kuuvunjilia mbali ili kila nchi ichukue hamsini zake. Naomba kutoa hoja.

Zanzibar ilipaswa kuwa mkoa wa Tanganyika.
 
Kuongelea kuvunja muungano ni treason.

Mbarawa kwa ku disregard maritime issues na kusaini waraka bila kuhusisha bandari za kwao, tayari amevunja katiba na anapaswa AWAJIBISHWE.

Mambo ya bandari Ni Mambo ya muungano, iweje ahusishe bandari za kwetu tu aache za kwao?

Kwani Nyerere alipoivamia Zanzibar alizitia almasi na dhahabu kwenye Muungano ?? alikimbilia mafuta

Zanzibar has no authority over oil, gas exploration, says ACT
 
Za kwao zimetulia tu

Huu Muungano ukiendekea kubaki, Tanganyika itaendelea tu kuumia. Maana mnufaika mkubwa ni Zanzibar. Hivyo ukivunjika, walau nchi yetu ya Tanganyika sasa itapumua.
Za kwao zimetulia tu
Kuongelea kuvunja muungano ni treason.

Mbarawa kwa ku disregard maritime issues na kusaini waraka bila kuhusisha bandari za kwao, tayari amevunja katiba na anapaswa AWAJIBISHWE.

Mambo ya bandari Ni Mambo ya muungano, iweje ahusishe bandari za kwetu tu aache za kwao?
Wazazibar 2 wanauza bandari za Tanganyika


 
Si mara ya kwanza kwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuzua manung'uniko na hata ushauri kuwa ima uvunjwe au urekebishwe. Wapo, hasa Wanzibri, wanaoona kama Zanzibar imemezwa na Bara.

Pia, wapo, hasa watu toka Bara, kuwa Zanzibar inapendelewa. Wanadhani ilipaswa kuwa kama si wilaya basi mkoa wa Tanzania.

Hawa ni wale wanaotaka serikali moja ambayo kimsingi, si chaguo la watawala. Hivi karibuni baada ya rais Samia S Hassan'kuuza' bandari ya Dar kama wengi wanavyosema, hisia na malalamiko juu ya muungano yamepamba moto. Wapo wanaosema eti wanaouza bandari wote ni Wazanzibari jambo ambalo kidogo si kweli. Kwani, kama bugne litaridhia, nalo litakuwa la wazanzibari?

Bila kuchelewesha mada na kupoteza muda, naomba tujadiliane madhara ya kukaa na muungano au kuuvunjilia mbali ili kila nchi ichukue hamsini zake. Naomba kutoa hoja.

Wadanganyika tuachane na hao ndugu wanaowathamini wajomba zao, mashemu wao, ndugu zao.
Nyege za Mwarabu zimevunja undugu kwa kweli.
Wacha waende zao nasi tubaki peke yetu.
Enough is enough
😠😡🤬
 
Huu muungano ukivunjwa naamini tutakuwa na faida pande zote mbili.


Huu Muungano, Nyerere alitishwa na nchi za Magharibi kuwa Zanzibar itakuwa kama Cuba.

Nyerere alikuwa akiongozwa na Waingereza, hakuwa na madaraka kamili kama Rais. Waingereza walikuwa na mtu wao Ikulu toka mwanzo mpaka mwisho wa madaraka ya Nyerere.

Tuwachane tu na muungano tubaki kuwa na Jumuiya kama ilivyo kwa nchi zingine za Afrika Mashariki, au kwa uchahe tuwe na Serikali tatu.


Serikali ya Tanganyika irudishwe. Hapo itakuwa wepesi hata nchi nyingine ya Afrika Mashariki ikitaka kujiunga nayo inajiunga kwenye Muungano.

Visiwa vya Comoro vilishawahi kumuomba Kikwete viingizwe kwenye Muungano.
 
Si mara ya kwanza kwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuzua manung'uniko na hata ushauri kuwa ima uvunjwe au urekebishwe. Wapo, hasa Wanzibri, wanaoona kama Zanzibar imemezwa na Bara.

Pia, wapo, hasa watu toka Bara, kuwa Zanzibar inapendelewa. Wanadhani ilipaswa kuwa kama si wilaya basi mkoa wa Tanzania.

Hawa ni wale wanaotaka serikali moja ambayo kimsingi, si chaguo la watawala. Hivi karibuni baada ya rais Samia S Hassan'kuuza' bandari ya Dar kama wengi wanavyosema, hisia na malalamiko juu ya muungano yamepamba moto. Wapo wanaosema eti wanaouza bandari wote ni Wazanzibari jambo ambalo kidogo si kweli. Kwani, kama bugne litaridhia, nalo litakuwa la wazanzibari?

Bila kuchelewesha mada na kupoteza muda, naomba tujadiliane madhara ya kukaa na muungano au kuuvunjilia mbali ili kila nchi ichukue hamsini zake. Naomba kutoa hoja.



Tusijifanye hapa kama waliotuibia ni wanzanzibari ! mikataba yote mibaya imesainiwa na watanzania bara! hadi loliondo. Hivyo tuache umbeya wa muungano tujadili mkataba.

Tushukuru mkataba afadhali tumepewa tusome hii mikataba ambayo ina shika ndege zetu kila siku nani alisoma!!
 
Kuna mikataba mibovu zaidi ya aliyoisaini Magufuli ya dhhabu? Na kalele zote zile. alipominywa nanihii tu na Canada kwa kushikiwa ndege moja, akarudi kuwa mdogo kama piriton.

Cheza na Wenye mali zao.
 
Back
Top Bottom