Nini faida ya manyoya katika dashboard?

Inaategemea na gari.

Huwezi kukuta mtu wa discovery 4 anaweka hayo mavuzi, Dash inakuja imenyooka leather za nguvu ila ukiingia hizi baby walker lzma utafute hilo vuzi la mzungu uweke la sivyo itakuwa kichekesho
 
Magari ya wanajeshi yanaongoza kuweka hayo mavitu mpka gar inakua kama saluni ya mkongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni kama kuna kaukweli fulani hivi. Labda kwa vile wanajeshi wengi wakiingia ktk ajira huchukua mikopo fasta na kuanza kumiliki ist, spacio na vits na hizo ndio gari zinazoongoza kuwekwa manyoya
 
Ushamba tu...

Miaka ya zamani enzi za TZxxxx watu walikiwa wanayaweka sana hayo madude au vitambaa, naona kumbe bado huo utaratibu ungalipo...
 
Inaategemea na gari.

Huwezi kukuta mtu wa discovery 4 anaweka hayo mavuzi, Dash inakuja imenyooka leather za nguvu ila ukiingia hizi baby walker lzma utafute hilo vuzi la mzungu uweke la sivyo itakuwa kichekesho
Daaah blaza umegusa mule mule. Sijawahi kuona range rover au v8 iliyowekwa hayo mavitu.
 
Ushamba tu...

Miaka ya zamani enzi za TZxxxx watu walikiwa wanayaweka sana hayo madude au vitambaa, naona kumbe bado huo utaratibu ungalipo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha kuna mjomba angu alikuaga na Suzuki Normade miaka ya 1998 huko alikua anaweka urembo wa maua maua yale ya plasti ya kutambaa tambaa kwenye dashboard. Tumetoka mbali sana. Ila huu mtindo wa kuweka urembo wa manyoya ndio nimeuona kipindi hiki.
 
Dashboard hiiiii au ileeeeeeee,tuwekane sawa kwanza
 
Hapo ni kuremba gari na kupunguza dash kuungua na jua. Ila kwangu mimi nsona bora ushonee ksva za ngozi sio kubwa ila zinakua kama zimekuja na gari zimenyooka sana manyoya naona kwenye gari za wadada zaidi
Hapa dar wapi nitapata wanaposhonea vizuri kava za ngozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…