Kuwa uteseke na duniaNini faida ya haya na ipi Nzuri kwa pande zote wake au waume ,
Ipo hivi yale manywele ya sehemu husika yana faida au hayana faida ?
Nimeuliza watu wa karibu wamekuja na majibu tata,eti kuwa uyaone (sentensi ninayoichukia kushinda zote duniani), ninavyofahamu unasomeshwa na ndipo unakuwa mbobezi.
Haya wenye elimu tupeni ushuhuda iliyonyolewa au iliyokuwa na manywele aka kichaka,
Haya wenye elimu tupeni ushuhuda iliyonyolewa au iliyokuwa na manywele aka kichaka,
Si ziwe za kuchomachoma hivi?Yasiwe mengi wala isiwe kipara, ziwe za kupitisha Kitana tuu
Mbona saloon zake zipo mkuu mji mkubwa tembea uone.Unaulizia habari za nywele za watu kwani wataka anzisha saluni ya hizo nywele?
Kuwa uelimike!!!!Ipo hivi, zile nywele za sehemu husika zina faida au hazina faida?
Nimeuliza watu wa karibu wamekuja na majibu tata, eti kuwa uyaone (sentensi ninayoichukia kushinda zote duniani).
Ninavyofahamu unasomeshwa na ndipo unakuwa mbobezi. Haya wenye elimu tupeni ushuhuda iliyonyolewa au iliyokuwa na nywele aka kichaka.
NaamSi ziwe za kuchomachoma hivi?
Wakati mwingine ukubaliane tu na maumbile yako. Vipi kama ungeumbwa na nywele/manyoya mwili mzima kama ilivyo kwa wanyama wengine?Ipo hivi, zile nywele za sehemu husika zina faida au hazina faida?
Nimeuliza watu wa karibu wamekuja na majibu tata, eti kuwa uyaone (sentensi ninayoichukia kushinda zote duniani).
Ninavyofahamu unasomeshwa na ndipo unakuwa mbobezi. Haya wenye elimu tupeni ushuhuda iliyonyolewa au iliyokuwa na nywele aka kichaka.
Kila unywele mwilini una kusudi lake, ila kutojua umuhimu na thamani ndiko kunatufanya tuzinyoe, ukitazama watu walioishi zamani kama Wafalme, Makuhani, Manabii na Mitume hata wasomi akina Plato and the like hawakunyoaIpo hivi, zile nywele za sehemu husika zina faida au hazina faida?