Nilitoa maeelzo amabayo yanaweza kuchangia kwenye hapa!!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/192427-lowassa-atabiri-vita-tanzania-5.html#post2812077 Re: Lowassa atabiri vita Tanzania
By Fe Lady Labda tutambue wakati wa serikali ya Sumaye tatizo la ajira lilikuwaje,ilipokuja serikali ya Lowasa lilipungua?Now Pinda Limeongezeka?LOWASA Anatafuta sababu,alifanya nini kucreate ajira?
Hali ilivyo inahitaji BUSARA zaidi ya kusema ukweli!
By MZALAMO
Lowasa ni tatizo kubwa sana katika jamii ya kitanzania kuliko hata kikwete!
Naafiki!
By Noti mpya tz Huyu kaamua atoke na issue ya vijana anadhani itampeleka ikulu kweli watanzania tunayo kazi sitarajii huyu jamaa kuungwa mkono na vijana maana ameshiriki kuwatesa na sasa anataka kuwatumia atimize malengo yake
Lowasa anatumia AKILI lakini hana BUSARA! Ameongea ukweli usio na Busara hata kidogo!! Kuujua ukweli si issue ..hata yeye can not handle what he pointed and expressed so well ..This make the matter even worse..cause he is worse naturally!!
By Melanoxylon Ajira kwa vijan kwani yeye ndo kaona tatizo leo? Ninavyofaham yeye kama mwkilishi wa wananchi ameishauri nini serikari au hata raisi rafiki yake. Nothing wizi tu... What a prezda fisad aiyekuwa na aibu. With me mchango wake tumeupokea but for u prezda ashindwe kwa jina la yesu
... Naafiki .. Mchango upokelewe ... na Yesu afanye vitu vyake on this issue!!
By MPIGA ZEZE
Yes, Man Made Money and, in turn, Money Made Man Mad! Kama poor peasants wanavyokiwezesha Chama Cha Magamba kuendelea kuwa madarakani kwa pupewa kofia, kanga, fulana, na ubwabwa, ndicho hiki tunaanza kukiona kwa Kanisa Katoliki (kanisa lenye heshima kubwa duniani) kutaka kutumiwa kama kondomu kwa sababu ya "Money"!!!! Kanisa Katoloki limegeuka kuwa kichaa. Shame on you!!!
... Siamini wala sioni nianzie wapi ...kuona ..kanisa ..litumike kupitishia ukweli mkubwa kama huo ..lakini usio na busara ..na hata mtoa mada mwenyewe knows kwamba ..cant change that truth!! ..Smart, clever BUT NOT Intelligent ...and this is really SHAMEFUL!!
By Zion Daughter Hatudanganyiki!!!
... I also tend to believe so!! Time and space wont allow kudanganyika any longer!!
Watanzania tuwe macho na hili fisadi papa!
Hii ni muhimu sana!! ... Nafikiri itatekelezwa!!
Kuwa na AKILI bila busara za UTU na UBINADAMU ... Ni Tatizo linaloikuba dunia yote kwa kasi ya haraka! Lakini viongozi wote NGULI wenye akili nyingi sana lakini wasio na utekelezaji kwenye nyaja ya UTU na UBINADAMU wanapukutika na kuangamia kwa AIBU na kasi ya Ajabu. Kuwa na AKILI za kutosha kunaweza kukupatia PhD! Lakini si lazima Uwe na UTU na UBINADAMU kwakuwa unaakili inayoweza kundika mtihani wa PhD!
Iko hivi Baba mwenye PhD , anayewahi kufika nyumbani akala chakula cha watoto, akanawa akawa wa kwanza kupanada kitandani wa kwanza kulala huko anakoroma na watoto wakarudi nyumbani wakakosa chakula na kulia kwa mayowe kama wale vijana wa Mbeya...hakumuondolei Baba huyo PhD Yake kwani ganda bado liko ukutani. Hakumfanyi Dingi Kutokuwa na AKILI. Lakini UTU na UBINDAMU wake Bure kabisaa! Akili ya Phd 100% na Utu na ubindamu 0%. Hafai kuwa Baba,hafai kuwa kiogozi, mbunge waziri wala Rais!
Mawaziri wangapi ndani ya baraza wana PhD na akili nyingi sana? Dosens.. Wanakula chakula cha watoto kivipi? Wanasaini mikatataba mibovu ...wawekezaji wanapata faida ya 100% kwa mika 100 ijayo na Yeye mwenye PhD na Akili nyigi sana ..anapewa RV 4 new model 2. Moja ya Mkewe na Moja ya Kwake. Kwani hiyo inamuodolea Phd Yake ? No! Akili Mingi ...Utu/Ubindamu..0%
Lowasa ametumia Akili yake vizuri sana hapo kanisani kuuweka hadharani ukweli mkubwa sana! Hilo halinipi tatizo ... Vipi kuhusu chakula cha watoto wazalendo wananchi wa kitanzania? Utu na Ubinadamu wake ndio unasukuma na kuipa akili, fikra na matendo mwelekeo wa anachokifanya! Mwelekeo wa KIUTU ambao ndio chimbuko la Taifa liitwalo Tanzania. Utanzania ni UTU, Utanzania ni Ubinadamu na asiye na sifa hizo za KIUUNGU na akae kando kwenye kuutafuta UONGOZI waTaifa hili. Kwani HIZI NI ENZI MPYA!!!