zubedayo_mchuzi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2011 Posts 4,873 Reaction score 1,217 Jul 29, 2013 #1 Haya maneno yalitamkwa na mmoja wa wahasisi wa Muungano.Anaejua atuambie Maneno hayo yalimanisha nini.
Haya maneno yalitamkwa na mmoja wa wahasisi wa Muungano.Anaejua atuambie Maneno hayo yalimanisha nini.
Bobwe JF-Expert Member Joined May 21, 2013 Posts 1,232 Reaction score 326 Aug 4, 2013 #2 Maana yake ni kwamba muungano sio lazima,zanzbr kwanza.