St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Mkuu kulikuwa na noti shilingi kumi pia, hujapata picha yake?
The dola have a long history than almost all other currency but currently update refer From 1996Mwenye taarifa tafadhali noti za dola zimekwisha badilishwa mara ngapi?
Tulianza na hizi
[/B][/QUOTE]
Hizi 100 nyekundu zilikuwa zinaitwa masai, ukiwa nayo hiyo ni sawa na au zaidi ya msimbazi.
Mwenye taarifa tafadhali noti za dola zimekwisha badilishwa mara ngapi?