Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mataga pori ndiyo walikua wanamtetea huyu mpuuzi.Kuna kipindi hata humu niliwahi kulalamika kuhusu mwanaharakati huru kutumia TV yake kuchafua watu, niliishia kejeli kuna watu walisema nimeshaguswa nitulie dawa iingie na baadaye uzi wangu ulipotea(sijui ulifutwa kwa sababu gani)
Mshana Jr.Maisha yanakwenda kasi sana! Yanapanda na kushuka kwa kasi hiyo hiyo...yanakata kona na kupita kwenye makorongo kwa kasi ileile...Hayakusubiri na hayasubiri mtu...!
Hili ni pambazuko jipya waliolia wanacheka! Waliocheka wanaliwaa..! Waliopata wanakosa na waliokosa wanapata!
Huku ni kilio kule ni kicheko.. Kule ni taharuki...! Huku ni shangwe...! Maisha hakika yanakwenda kasi sana...!!!!
Hayuko tena kijana matata Cyprian Musiba mwenye tambo na mafaili ya watu wakubwa! Mzalendo mpigania tumbo ..HAYUKO na HAYUPO..!!!
Ni dhahiri shahiri kuwa kweli sasa unapigwa mwingi.. Musiba si wa kutoweka mitandaoni! Musiba si wa kujificha akiogopa watu.. Musiba wa kuadimika kwenye press conference akitisha kukejeli na kuwazushia watu tuhuma! Musiba si wa kuwakimbia watu waliomuita boss na kumnyenyekea mno!!! Sasa wamemgeuka! Wanamtafuta wampeleke kwa pilato..! Wanamdai mishahara ya robo mwaka sasa! HANA!
Mafanikio yake kibiashara kwenye tasnia ya habari hayakuwa haba na alipanda kwa haraka sana! Alijivuna na kujivunia mafanikio na ilikuwa mwaka huu afungue kituo kikubwa cha kisasa cha TV kwa jina la TANZANITE TV
. Nadhani leseni ilikuwa tayari
.Nadhani masafa yalikuwa tayari
.Nadhani kibali kilikuwa tayari
.Nadhani mitambo ilikuwa tayari imewasili bandarini...
.Nadhani hata wafanyakazi walikuwa tayari
. Nadhani kilichokuwa kinasubiriwa ni uzinduzi tuu..! Uzinduzi mkubwa kabisa...!!!
KISHAPO nadhani kuna kitu kibaya kikatokea ghafla na kuharibu mipango yote...! NADHANI ndio maana kafa bila kufariki na wafanyakazi wake wanamsaka kila kona!
Nadhani kuna somo la maisha anajifunza kwa njia ngumu mno...Nadhani AMEKOMA na hajui future yake ninini...!!! Je ni Segerea!?
Zote ni media za kipropaganda zenye upuuzi mwingi tu, uhai wake unategemeana na status ya boss ktk utawala husikaUsifananishe Free Media au Mwanahalisi na vitu vya kipuuzi tafadhali
Tofauti ipo.musiba anategemea hicho kijarida kupata ugali.mbowe ana mishe nyingi tofauti na hicho kijarida chake,mbowe family wako vizuri tangu mkoloni,musiba kwao ndio aliyekuwa katusua maishaKwani ni nn tofauti ya media ya bw Musiba na ile ya Tanzania Daima ya Mbowe au MwanaHalisi ya Kubenea!??
Vyote hivi ni vyombo vya habari za kipropaganda, kinachowatofautisha ni upande walioamua kupatia ugali wao
Na vyombo hivi vya habari vimeyumba baada ya mmiliki wake kukumbwa na dhoruba
Sasa kumnyooshea kidole bw Musiba kisa aliandika yale usiyoyapenda ilhali kina Kubenea na Mbowe media zao ziliandika yale uliyoyapenda na ukanyamaza kimyaa basi huo utakuwa ni UNAFIKI
Good explanation, asante.Tofauti ipo.musiba anategemea hicho kijarida kupata ugali.mbowe ana mishe nyingi tofauti na hicho kijarida chake,mbowe family wako vizuri tangu mkoloni,musiba kwao ndio aliyekuwa katusua maisha
Ni njaa na madeni simu hawapokei wanaishi kwa kujifichaHao ndo wale waliokua wanajifanya wana uchungu sana na nchi kuliko wengine kumbe walikua wababaishaji tu wanao nufaika kijanja na awamu iliyokuwepo.Sasa toka awamu imepita wanatapa tapa hawajui washike wapi.
Good explanation, only open minded ndo watakuelewaKwani ni nn tofauti ya media ya bw Musiba na ile ya Tanzania Daima ya Mbowe au MwanaHalisi ya Kubenea!??
Vyote hivi ni vyombo vya habari za kipropaganda, kinachowatofautisha ni upande walioamua kupatia ugali wao
Na vyombo hivi vya habari vimeyumba baada ya mmiliki wake kukumbwa na dhoruba
Sasa kumnyooshea kidole bw Musiba kisa aliandika yale usiyoyapenda ilhali kina Kubenea na Mbowe media zao ziliandika yale uliyoyapenda na ukanyamaza kimyaa basi huo utakuwa ni UNAFIKI
Hapo bado Bernad Membe hajaja na madai yakeKuna kipindi hata humu niliwahi kulalamika kuhusu mwanaharakati huru kutumia TV yake kuchafua watu, niliishia kejeli kuna watu walisema nimeshaguswa nitulie dawa iingie na baadaye uzi wangu ulipotea(sijui ulifutwa kwa sababu gani)
Nimependa ulivomaliza na kufunga mlango !![emoji16][emoji16]Maisha yanakwenda kasi sana! Yanapanda na kushuka kwa kasi hiyo hiyo...yanakata kona na kupita kwenye makorongo kwa kasi ileile...Hayakusubiri na hayasubiri mtu...!
Hili ni pambazuko jipya waliolia wanacheka! Waliocheka wanaliwaa..! Waliopata wanakosa na waliokosa wanapata!
Huku ni kilio kule ni kicheko.. Kule ni taharuki...! Huku ni shangwe...! Maisha hakika yanakwenda kasi sana...!!!!
Hayuko tena kijana matata Cyprian Musiba mwenye tambo na mafaili ya watu wakubwa! Mzalendo mpigania tumbo ..HAYUKO na HAYUPO..!!!
Ni dhahiri shahiri kuwa kweli sasa unapigwa mwingi.. Musiba si wa kutoweka mitandaoni! Musiba si wa kujificha akiogopa watu.. Musiba wa kuadimika kwenye press conference akitisha kukejeli na kuwazushia watu tuhuma! Musiba si wa kuwakimbia watu waliomuita boss na kumnyenyekea mno!!! Sasa wamemgeuka! Wanamtafuta wampeleke kwa pilato..! Wanamdai mishahara ya robo mwaka sasa! HANA!
Mafanikio yake kibiashara kwenye tasnia ya habari hayakuwa haba na alipanda kwa haraka sana! Alijivuna na kujivunia mafanikio na ilikuwa mwaka huu afungue kituo kikubwa cha kisasa cha TV kwa jina la TANZANITE TV
. Nadhani leseni ilikuwa tayari
.Nadhani masafa yalikuwa tayari
.Nadhani kibali kilikuwa tayari
.Nadhani mitambo ilikuwa tayari imewasili bandarini...
.Nadhani hata wafanyakazi walikuwa tayari
. Nadhani kilichokuwa kinasubiriwa ni uzinduzi tuu..! Uzinduzi mkubwa kabisa...!!!
KISHAPO nadhani kuna kitu kibaya kikatokea ghafla na kuharibu mipango yote...! NADHANI ndio maana kafa bila kufariki na wafanyakazi wake wanamsaka kila kona!
Nadhani kuna somo la maisha anajifunza kwa njia ngumu mno...Nadhani AMEKOMA na hajui future yake ninini...!!! Je ni Segerea!?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]limeshamchweaNimependa ulivomaliza na kufunga mlango !![emoji16][emoji16]
My foot...! Ati..[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji16][emoji16][emoji16]Musiba ni TISS Huyo.Yeye hana cha kupoteza