Serakali imefuta rasmi kidato cha nne wenye ufaulu wa divisheni four ya point 26,27,33 na 34 kusomea ualimu katika vyuo vyake.
Hii ni kutokana na vigezo walivyovitumia katika kuchagua wanafunzi wa kujiunga na vyuo vyake vya ualimu hapa nchini. Wamechukua kuanzia divisheni 1 hadi III tu.
Swali langu, nini hatima ya wale waliobaguliwa na serikali katika awamu hii wanaochukuliwa na vyuo vya watu binafsi? WAZAZI na Wanafunzi wamejawa na hofu kwani hadi sasa serikali halijatoa tamko lolote kuhusiana na hali hiyo.
i watoto wetu wanaosomea shule za kayumba tutawapeleka wapi? watoto wa wakulima watakuwa na uwezo wa kuhimili karo ya mamilioni ya fedha katika vyuo vya watu binafsi?.
Hii ni kutokana na vigezo walivyovitumia katika kuchagua wanafunzi wa kujiunga na vyuo vyake vya ualimu hapa nchini. Wamechukua kuanzia divisheni 1 hadi III tu.
Swali langu, nini hatima ya wale waliobaguliwa na serikali katika awamu hii wanaochukuliwa na vyuo vya watu binafsi? WAZAZI na Wanafunzi wamejawa na hofu kwani hadi sasa serikali halijatoa tamko lolote kuhusiana na hali hiyo.
i watoto wetu wanaosomea shule za kayumba tutawapeleka wapi? watoto wa wakulima watakuwa na uwezo wa kuhimili karo ya mamilioni ya fedha katika vyuo vya watu binafsi?.