Nini hatma ya Dj wa Diamond (Romy jons)?

Nini hatma ya Dj wa Diamond (Romy jons)?

Jiraniyetu

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
350
Reaction score
333
Kitu ninachojaribu kukifikiria haraka haraka ni kuhusu hatima ya huyu jamaa yake Diamond ambae ni dj wake,Maana kila shoo sasahivi D anafanya na live band kitu ambacho ni habari mbaya sana kwa Romy jons,,Mi napenda kumshauri jamaa atafute ofisi maalumu awekeze maana hiyo ajira ni kama imepotea kiaina..Romy umenipata?sorry lakini,,mimi siyo heta,Karibuni wadau.

1647608873833.png
 
Romy jons siyo mshikaji WA Diamond ni brothers.. Yaani ni ndugu wa mama Mkubwa.!! Romy anakampuni yake ya enterment ambayo huandaa shows mbalimbali Dar na mikoani...!! kuna kipind alikuwa kila dai akisafiri naye anasafiri sijui kilitokea nn but now naona most of the time anafajya yake
 
Mie nae kila.za, kwan dj huwa hausiki kwenye live show, maan kwenye show flan za mbele huwa nawaona madj pia,
 
Naona amemchukua [HASHTAG]#Tudy[/HASHTAG] ndio sound engineer wa band

Ile band sio mchezo jombaaa
 
Aende kwa Kiba tu aachane na mambo ya kununua viewers.
 
Huwezi kuwa karibu na Diamond afu ukakosa cha kufanya labda iwe uzembe tu!!

Afu bado ni WCB vice president, anahusika kwenye baadhi ya maamuzi ya kampuni kwahiyo hatoki patupu..
Vice president ni q boy.
 
Labda hamjui maana ya kupiga live ...unaweza kutumia DJ na ukawa live ....pia unapotumia bendi ni muhimu DJ awepo kuongeza ladha pia kuhakikisha ubora wa muziki ni CD quality ...Djing ina mambo mengi sana sio scratching tu ...
 
Kwani mshkaji nilikuwa nae araundi leo nafikiri kakwepa kodi?
 
Kitu ninachojaribu kukifikiria haraka haraka ni kuhusu hatima ya huyu jamaa yake diamond ambae ni dj wake,Maana kila shoo sasahivi D anafanya na live band kitu ambacho ni habari mbaya sana kwa romy jons,,Mi napenda kumshauri jamaa atafute ofisi maalumu awekeze maana hiyo ajira ni kama imepotea kiaina..Romy umenipata?sorry lakini,,mimi siyo heta,Karibuni wadau.
DJ kahamia kwenye connection
 
Back
Top Bottom