DOKEZO Nini hatma ya fidia kwa wakazi wanaopisha ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Mzenga

DOKEZO Nini hatma ya fidia kwa wakazi wanaopisha ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Mzenga

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu tathmini na uthamini ufanyike lakini bado malipo ya fidia hayajafanyika na hakuna taarifa yoyote.

Wakazi wanashindwa kufanya maendeleo yoyote kwenye maeneo yao.

TANROADS na Serikali toeni taarifa wananchi wajue
 
Back
Top Bottom