Nini hatma ya Mkataba wa Lulu na Azam TV?

Nini hatma ya Mkataba wa Lulu na Azam TV?

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,912
Baada ya Hukumu ya Miaka miwili nini hatima ya Mkataba wa Lulu na Azam,,,,,..... Au
------

Chaneli ya Sinema Zetu inayopatikana katika Televisheni ya Azam, leo imetangaza rasmi uzinduzi wa Tamasha lake lakutoa Tuzo na mchango wa tasnia ya Bongo Movies maarufu 'Sinema Zetu International Film Festival' litakalofanyika kuanzia January Mosi, 2018 hadi February 28, 2018.

Katika Tamasha hilo pia kutakuwa na Shindano litalokusanya Filamu zaidi ya 150 kutoka Mikoa mbalimbali kama Morogoro, Mwanza, Dodoma ambapo jumla ya Mikoa nane.

Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Kiongozi Mkuu wa Tamasha hilo, Jacob Joseph amesema kuwa watazunguka Mikoa Sita kwa ajili ya kuzungumza na Wadau wa tasnia hiyo ikiwa sambamba na kutoa elimu yakutosha na kuweka uelewa juu ya Tamasha hilo.

Mshauri wa Tamasha hilo, Prof. Martin Mhando amesema kuwa Shindano hilo la Filamu katika Televisheni litakuwa na vipengele vitatu ambapo litahusisha Bongo Movies 'Filamu Kubwa', Filamu Fupi za dakika 45, pia Makala za Filamu nazo zitahusika.

Balozi wa Tamasha hilo, Elizabeth Michael 'Lulu' ameshukuru kupewa ubalozi katika Tamasha hilo ikizingatiwa kwamba yeye ni Msanii atakayebeba Nembo ya Taifa la Tanzania katika nchi jirani zitakazoshiriki Tamasha hilo kwa Ukanda wa Afrika Mashariki.
 
Hivi kwann updates zq hiyo kesi,hukumu zilizoletwa hapa ,hizo nyuzi zinefutwa zote? Kuna shida gani?
 
Aithee I Wish Kuwa Nyampalaa Katika Gereza Ambalo Luku Atapelekwa

Kiviere Wa Usangi
 
Subuutu!
Kama una huruma basi ihurumie mbunye yake maana itafiligiswa na mibwanajela hatari!!!
Akitoka kama katapikwa
Sasa mbunye inahusika vp hapo kwenye mkataba. Mbunye ni mbunye tu sijakataa kama atafanywa hivyo ila mm nimeelezea kiuchache sheria ya mkataba wake. Mambo ya mbunye atajua yy na hayapo katika mkataba.
 
Mkataba utaendelea kuwa pale pale mpaka utakapo Isha mda wake na atapokea kama kawaida mpunga wake. Hiyo ndio sheria

Umeziona terms za mkataba?

Mara nyingi kwenye mikataba huwa kunawekwa ABCs za nini kinachoweza kufanya mkataba kuvunjika au kusitishwa.

Moja ya vitu vinavunja mikataba ni issue za kufungwa; hii huwa ni direct.

BTW ni kampuni gani itataka kuwa associated na mtu aliyeko Jela?
 
Sasa mbunye inahusika vp hapo kwenye mkataba. Mbunye ni mbunye tu sijakataa kama atafanywa hivyo ila mm nimeelezea kiuchache sheria ya mkataba wake. Mambo ya mbunye atajua yy na hayapo katika mkataba.
Kama ungejua maana ya "Subuutu" usingejibu chochote!

Kifupi ni kuwa mazingira ya utekelezaji wa mkataba sio gerezani, kitendo cha Lulu AKA "Womanslaughter" kuhamishia makazi yake gerezani iwe kwa hiyari au shuruti ya kisheria kunaufuta mkataba automatically.

Walengwa wa azam tv hawako gerezani sasa Womanslaughter atatekelezaje mkataba mitaa ya keko isanga na karanga!

Kupekuliwa kwao tu ni udhalikishaji tosha!

Kwaheri
 
Subuutu!
Kama una huruma basi ihurumie mbunye yake maana itafiligiswa na mibwanajela hatari!!!
Akitoka kama katapikwa
analazimikaje kuliwa na bwana jela kwa kazima!?..lulu ana watu wengi..atahudumiwa vizuri wala hatopata shida unazotaman apate
 
analazimikaje kuliwa na bwana jela kwa kazima!?..lulu ana watu wengi..atahudumiwa vizuri wala hatopata shida unazotaman apate
Ray C atakuwa mrembo kwa lulu atakapokuwa anatoka jela.
Kuhudumiwa ni lazima ashabikie timu ya Libolo kijelajela!
 
9 December Lulu anatoka kwa msamaha wa Raisi.

Kwani shida ipo wapi.
 
huo ubalozi ataupokea mke mwenza hamisa mobetto
 
Ray C atakuwa mrembo kwa lulu atakapokuwa anatoka jela.
Kuhudumiwa ni lazima ashabikie timu ya Libolo kijelajela!
Alikaa rumande mwaka mzima na bdo alitoka akiwa mrembo tu. Em achen chuki binafs aisee
Hii kes inaweza kumpata yeyote yule
 
wanasheria naomba mnifafanunulie vitu viwili, mtu akihukumiwa kifungo jela ilihali alishakaa mahabusu lets say 6 months, ile miezi huwa inatolewa kwenye ile 2 years? la pili, hii issue ya jela asubuhi na mchana kuwa ni siku mbili tofauti is it true?

la mwisho lulu alishakaa mahabusu miezi mingapi?
 
Alikaa rumande mwaka mzima na bdo alitoka akiwa mrembo tu. Em achen chuki binafs aisee
Hii kes inaweza kumpata yeyote yule
Kesi inaweza kumpata kessy, upo sawa!
Hakuna chuki ya jumla as compared to chuki binafsi.

Kwenye siasa wakihukumiwa kifungu kuna privilege za kisiasa huota mbawa.

Huyu Womanslaughter keshaji scrap mwenyeeewe!

Ataishia kugegedwa mashavu ya mbu. nye yawe lepelepe.

Hakuna mwanaume wa kupanga maisha na muuaji.
 
Back
Top Bottom