Nini hatma ya Pride Tanzania?

Mtoto wa kijiji

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2017
Posts
319
Reaction score
184
Kupata mkopo tawi la Pride hapa Arusha imekuwa ngumu sana.Ukiomba mkopo wanasema hawana pesa.Wako ktk mchakato wa kulipa kodi.Kuna watu wamejitoa baada ya kuona hawapewi mikopo lakini kila wakidai hakiba zao hakuna majibu ya kuridhisha.

Hakiba zile ni haki ya mkopaji kwa mujibu wa utendaji kazi wao.Kama hawatoi mikopo kwa nn wasilipe hakiba za wateja wao ambao wamejitoa?
Nasindwa kuelewa hatma ya hawa Pride.

Kesho yao ni kma ina mashaka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…