Nini Hatma ya serikari ya Kikwete???

mstahiki

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2007
Posts
308
Reaction score
7
Je kuna matumaini ya kuwa italeta mageuzi ya kiuchumi?
 
Nadhani ungetuoa mawazo/uchambuzi wako kwanza ili tuweze kuchangia. Vinginevyo kuna thread nyingi zinazoongelea masuala mbalimbali ya uongozi wa Kikwete.
 
Mwanaharakati,
Kwani wewe mwenyewe unaonaje? Mimi naona mabadiliko yapo tatizo ni mabadiliko hasi na siyo chanya, sijui nimejibu swali lako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…