M mstahiki JF-Expert Member Joined Jul 14, 2007 Posts 308 Reaction score 7 Dec 29, 2007 #1 Je kuna matumaini ya kuwa italeta mageuzi ya kiuchumi?
Zitto Former MP Kigoma Urban Joined Mar 2, 2007 Posts 1,562 Reaction score 10,888 Dec 29, 2007 #2 Nadhani ungetuoa mawazo/uchambuzi wako kwanza ili tuweze kuchangia. Vinginevyo kuna thread nyingi zinazoongelea masuala mbalimbali ya uongozi wa Kikwete.
Nadhani ungetuoa mawazo/uchambuzi wako kwanza ili tuweze kuchangia. Vinginevyo kuna thread nyingi zinazoongelea masuala mbalimbali ya uongozi wa Kikwete.
M Mwakilishi JF-Expert Member Joined Jan 31, 2007 Posts 483 Reaction score 34 Dec 29, 2007 #3 Mwanaharakati, Kwani wewe mwenyewe unaonaje? Mimi naona mabadiliko yapo tatizo ni mabadiliko hasi na siyo chanya, sijui nimejibu swali lako?
Mwanaharakati, Kwani wewe mwenyewe unaonaje? Mimi naona mabadiliko yapo tatizo ni mabadiliko hasi na siyo chanya, sijui nimejibu swali lako?