M Mpaki Member Joined Jul 17, 2011 Posts 28 Reaction score 1 Aug 27, 2011 #1 Jamani naomba kuuliza. Chuo cha ustawi kimefutiwa usajiri kwamba kilikuwa hakina sifa ya kutoa shahada. Itakuwaje kwa walio pata shahada kabla ya kufutiwa usajiri huo. TCU tunaomba majibu
Jamani naomba kuuliza. Chuo cha ustawi kimefutiwa usajiri kwamba kilikuwa hakina sifa ya kutoa shahada. Itakuwaje kwa walio pata shahada kabla ya kufutiwa usajiri huo. TCU tunaomba majibu