Nini hatma ya taasisi ya ustawi wa jamii na waliomaliza hapo?

Mpaki

Member
Joined
Jul 17, 2011
Posts
28
Reaction score
1
Jamani naomba kuuliza. Chuo cha ustawi kimefutiwa usajiri kwamba kilikuwa hakina sifa ya kutoa shahada. Itakuwaje kwa walio pata shahada kabla ya kufutiwa usajiri huo. TCU tunaomba majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…