hivi kwel HESLB wanaweza kuzima watu wote hao waliokosa mkopo maana wengi tu CHUO kwa mwaka huu itakuwa basi kwan ile idadi waliyosema wanatatoa mkopo 35679 leo hii imekuaje wameshindwa kufka huko nna IMANI watafanya mageuzi na vijana WENGI wengine watapewa MIKOPO majibu zaidi ni HAPO kesho mguu kwa mguu hadi HESLB watoe majb ya kna y faculty ni priority alaf MTU anakosa KAMA utakuwa ujapata jb nitaleta majb hapa hapa ponde tu nitakapopata haya majib kutoka HESLB kama una swali uliza kesho ltawekwa pale HESLB nitaleta majibu maana hii sio kawaida kukosa kiasi hiki,,2pia chochote ktafka HESLB bye