Loans Board imetoa majina ya undergraduates walifanya makosa mbalimbali katika ujazaji wa forms zao za mikopo, lakini hawajasema nini wanatakiwa wafanye ndio kusema imekula kwao au ndo nini kinafuata kwa watu hao,,,,
Loans Board imetoa majina ya undergraduates walifanya makosa mbalimbali katika ujazaji wa forms zao za mikopo, lakini hawajasema nini wanatakiwa wafanye ndio kusema imekula kwao au ndo nini kinafuata kwa watu hao,,,,
hao mkuu...mhh...cjui nsemeje..ukichek ya walim,madokta na hili tif tifu la vita,nahisi watakua wanawapotezea mana(wanavyodai au watavyodai) serikali imefulia....mh bariki mana hali si njema!!