jogoolashamba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 348
- 71
Jamani Tz naomba elimu kiduchu! Kuna ugomvi wa jamaa wanaotaka kuwashiwa mitambo ya analogia lakini wawashaji hawataki. Swali: Hivi kuwasha mitambo ya analogia kuna gharama yeyote mpaka kuzue kelele zote hizo? Kwa nini mitambo yote isiwashwe? Mimi nina simu yenye TV na nilikuwa nikiangalia vipindi mbalimbali kwa mobile yangu. Nina hakika viTV vyote vya aina hii havina bao. Kwa nini hatuwashi mitambo yote miwili, analogia na digitali ili na simu zetu ziendelee kuona? Au kuna gharama inayotishia WaTz kulala na njaa?