Nini humuimu wamabalachichi kwenye mfumo wauzaizi kwa wakina baba.

Nini humuimu wamabalachichi kwenye mfumo wauzaizi kwa wakina baba.

Mabalachichi!!! Ni dawa ya kunywa au ya kuchua??sijawahi kuisikia hii,anayeijua atuelimishe tafadhali.
 
Wwwe unajikuta kama unajua kila kitu unajifanya kama ujaelewa kilichoandikwa basi powa kama unaona ujaelewa kilichoandikwa ucngechangia maada.Powa mwalimu walugha
 
Palachichi! Linasaidia kuongeza mfumo wa nguvu za kiume!

Tanzania ina mataahira wengi kuliko inavyofikiriwa. Haya ni mazoea ya kutamka na kuandika vitu bila umakini. Mtu huanza tabia hii kidogo kidogo na baadaye huzoea huu ujinga.

Parachihi sio palachichi. Halafu huo mfumo wa nguvu za kiume unaongezwa upana au urefu?

Nayachukia sana haya magazeti ya Shigongo mnayosoma mchana kutwa. Msamiati wenu haukui sbb mambo ya kipumbavu ndio mnayoyapa kipaumbele
 
[h=2]Nini humuimu wamabalachichi kwenye mfumo wauzaizi kwa wakina baba[/h]
hebu rekebisha hiyo heading yako kwanza afu ndo tumwite mtaalam wa lishe na tiba
 
Wwwe unajikuta kama unajua kila kitu unajifanya kama ujaelewa kilichoandikwa basi powa kama unaona ujaelewa kilichoandikwa ucngechangia maada.Powa mwalimu walugha

Uchafu mchafu kuliko uchafu wote wa ulimwengu....idiot!

Wwwe[wewe] unajikuta[?] kama unajua kila kitu unajifanya kama ujaelewa[hujaelewa] kilichoandikwa basi powa[poa] kama unaona ujaelewa[hujaelewa] kilichoandikwa ucngechangia[usingechangia] maada[mada].Powa[poa] mwalimu walugha[wa lugha]

Pumbavu wewe, ndio maana mnapata sifuri halafu wale wenzenu wenye akili kama zenu wanaanza kubadili alama zenu. Hakuna mada hapa, ni upumbavu tu umeandika. Ungekuwa hapa karibu yangu ningekucharaza mikwaju mpaka ikukolee kesho usingeamka kuja kuandika uchafu hapa
 
Wwwe unajikuta kama unajua kila kitu unajifanya kama ujaelewa kilichoandikwa basi powa kama unaona ujaelewa kilichoandikwa ucngechangia maada.Powa mwalimu walugha
Kama ni hivyo walimu wana kazi ngumu
 
Tanzania ina mataahira wengi kuliko inavyofikiriwa. Haya ni mazoea ya kutamka na kuandika vitu bila umakini. Mtu huanza tabia hii kidogo kidogo na baadaye huzoea huu ujinga.

Parachihi sio palachichi. Halafu huo mfumo wa nguvu za kiume unaongezwa upana au urefu?

Nayachukia sana haya magazeti ya Shigongo mnayosoma mchana kutwa. Msamiati wenu haukui sbb mambo ya kipumbavu ndio mnayoyapa kipaumbele

Na wewe sbb ndio nini kama weye mjuzi wa kiswahili yakheeeeeeeeeee..............
 
Na wewe sbb ndio nini kama weye mjuzi wa kiswahili yakheeeeeeeeeee..............

Kuna sehemu nilikukuta uchi nikakwambia mimi ni mjuzi wa Kiswahili?

Ukiwa mpumbavu, hutaweza kamwe kuona tofauti ya mtu aliyekosea neno kwa upumbavu wake [Palachichi] na mtu aliyedhamiria hasa kulifupisha neno sababu (sbb).
 
Bora kujifunza lugha moja na kuwa mtaalamu hapo kuliko hivi. Siku hizi unakuta kijana kingereza hajui, kiswahili hajui.
 
Back
Top Bottom