Nini hupelekea kebehi, matusi na vipigo kwa Wajawazito kutoka kwa Wakunga?

Nini hupelekea kebehi, matusi na vipigo kwa Wajawazito kutoka kwa Wakunga?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210316_085013_005.jpg

Wanawake wamekuwa wakikumbana na kebehi, matusi na hata vipigo kutoka kwa wakunga wakati wa kujifungua.

Utafiti uliofanywa na WHO ulibaini kwamba wanawake wenye umri mdogo, na walio na kiwango cha chini cha elimu wako hatarini kuteswa kupitia kunyanyapaliwa, kubaguliwa, kufanyiwa taratibu za kitabibu bila ya hiari yao au kutelekezwa.

WHO inasema msaada kutoka kwa mkunga wakati mjamzito anajifungua una mchango kati ya uhai na kifo huduma bora za mkunga huokoa maisha ya mzazi.

Unafikiri ni kwanini Wakunga hukebehi, kutukana au hata kupiga wajawazito?
 
Upvote 0
Kuna Mazingira Usipomchapa Mama mjamizito.

Hasa kwenye Second stage of labour jiandae kupata cases ya maternal na fetal..

Mtoto anakuwa amekosa pumzi halfu mama anakwambia nimechoka..

Aisee kinachofuata vibao vya makalio Hatasahau aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom