sandraeli JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 1,431 Reaction score 2,392 Nov 23, 2018 #21 Tiba yake ni nn haswa hapo kwenye hormone imbalance
A afyakliniki Senior Member Joined Nov 21, 2018 Posts 125 Reaction score 81 Nov 23, 2018 #22 sandraeli said: s Tiba yake ni nn haswa hapo kwenye hormone imbalance Click to expand... Kwasababu zilizo nje ya kanuni za kitabibu hatuwezi kukutajia matibabu/madawa hapa. #afyakliniki Tembelea kituo chochote cha Huduma za afya kwa matibabu zaidi. Asante na Karibu.
sandraeli said: s Tiba yake ni nn haswa hapo kwenye hormone imbalance Click to expand... Kwasababu zilizo nje ya kanuni za kitabibu hatuwezi kukutajia matibabu/madawa hapa. #afyakliniki Tembelea kituo chochote cha Huduma za afya kwa matibabu zaidi. Asante na Karibu.
Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,962 Reaction score 70,576 Nov 24, 2018 #23 chaliifrancisco said: Ukipenda sana dezo kula ofa kila mara, vizinga kila siku, uslay queen kwa sana. Mungu nae hukupea kidogo kitu ikutese nawewe vyenye unatesa watu. Click to expand... πππni ww hii kweliπππ
chaliifrancisco said: Ukipenda sana dezo kula ofa kila mara, vizinga kila siku, uslay queen kwa sana. Mungu nae hukupea kidogo kitu ikutese nawewe vyenye unatesa watu. Click to expand... πππni ww hii kweliπππ
Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,962 Reaction score 70,576 Nov 24, 2018 #24 on top mwanamke wa hvyo ht kupata mimba huwa shida sanaπ
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,021 Reaction score 79,710 Nov 24, 2018 #25 manengelo said: πππni ww hii kweliπππ Click to expand... Kuchangamsha genge bana sipogo serious sometimes unakuta nishapuliza kijiti ππ
manengelo said: πππni ww hii kweliπππ Click to expand... Kuchangamsha genge bana sipogo serious sometimes unakuta nishapuliza kijiti ππ