Haaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] kazi gani ya kudeki au mmmmUmenikumbusha video moja inamuonyesha mama mmoja hivi anajishika shika huko kwa bibi halafu kachukua video. Mapajani ni mweusi kama kaungua halafu alijichubua zile stretch mark zikawa kama zimejaa hivi. Nikajisemea wanaume wana kazi sana.
Ndugu acha ulisikia mmoja kubaya kama pua ya mbwa jamani sijui yeye alitoka wapi [emoji39] [emoji39] [emoji2] [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna weusi mwingine wa kawaida tu bhn hautishi kivile
Thank God am black ti ti tiiiiiii[emoji23] [emoji23]hata huo ukungu utafanana na ngozi ya mwilNdugu acha kwahiyo wanene na weupe hakuna kwenda mchana ni usiku tena giza hakuna kuchunguliana
Boxer si kama chupi tu,labda alimaanisha taiti.Boxer unataka wachubuke sasa wewe ule msuguano unaujua?
mamboChiieeeffff[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Miss you!!![emoji6]mambo
Wangekuwa hata wanaona aibu kuziponda maana bila huko tusingejazana humu dunianiHahaha imebaki wazi imepigwa na bumbuwazi ahahaha aaaaaiiiiseee
Friction wakati wa kutembeaSwali ni kwanini unamkuta mdada mzuri tu na pengine mweupe ila sehemu yake nyeti inakuwa kama imeungua?
Yaani huyo anaweza hata akakwambia siku mmetibuana halafu wenye midomo michafu ndiyo Mungu huwapa wa hivyo hivyoThank God am black ti ti tiiiiiii[emoji23] [emoji23]hata huo ukungu utafanana na ngozi ya mwil
missed you too mumu [emoji6]Miss you!!![emoji6]
Fangasi leo unazibadili jina,pata tiba uondokane naoNa hii ni kwa wale wanene ambapo mapaja yanakuwa yanasiguana dats why ukiwa hivyo unashauriwaa kuvaa skin tight
Kasema taiti zinawabana wavae boxer, sasa uvae boxer bila pichu humo ndani inakuwajeBoxer si kama chupi tu,labda alimaanisha taiti.
Niko poa,.baadae nitakuletea ile assignment unifasirie[emoji5]missed you too mumu [emoji6]
unaendeleaje?
Deki manake nin wakuuNjoo leo nikupige tena deki
Vip haya mafuta mapya ya American cocoa butter..nayo ni mazuriView attachment 712553
Mafuta ya nazi husaidia sana kulainisha ngozi ya upaja iliyoungua na kuwa nyeusi
sawa mumu karibu sana, nitafurahi kushirikiana na wewe [emoji4]Niko poa,.baadae nitakuletea ile assignment unifasirie[emoji5]