hatuna utamaduni huo. Lazima kuwajengea watu tabia ya kufuatilia vipimo.Kama nilivyoeleza hapo juu.
ni kwanini watu wengi sana wanapoenda hospitali kutibiwa na kisha kuambiwa warudi kuhakiki vipimo iwapo wamepona hua hawarudi??
hupewa muda pengine baada ya wiki moja au mwezi warudi ila walio wengi hua hawarudi hata kama hakuna gharama za ziada.
Je wewe kwako hili lipoje?? Kwangu mimi nikitumia dozi nikajiona niko fiti hua sirudi.
Kwasababu naona ni kupoteza muda na kubana nafasi ya wengine kutibiwa.
Jawabu kubwa ni hilo la mwanzo la utamaduni au mazowea.Pesaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...hili nalo ni contributing factor kubwa among many
Binadamu tulivyo..kama haiumi, haijavimba na haimzuii kufanya shughuli za kila siku sio rahisi akaona umuhimu wa kurudiKama nilivyoeleza hapo juu.
ni kwanini watu wengi sana wanapoenda hospitali kutibiwa na kisha kuambiwa warudi kuhakiki vipimo iwapo wamepona hua hawarudi??
hupewa muda pengine baada ya wiki moja au mwezi warudi ila walio wengi hua hawarudi hata kama hakuna gharama za ziada.
Je wewe kwako hili lipoje?? Kwangu mimi nikitumia dozi nikajiona niko fiti hua sirudi.
Kwasababu naona ni kupoteza muda na kubana nafasi ya wengine kutibiwa.
๐Kama nilivyoeleza hapo juu.
ni kwanini watu wengi sana wanapoenda hospitali kutibiwa na kisha kuambiwa warudi kuhakiki vipimo iwapo wamepona hua hawarudi??
hupewa muda pengine baada ya wiki moja au mwezi warudi ila walio wengi hua hawarudi hata kama hakuna gharama za ziada.
Je wewe kwako hili lipoje?? Kwangu mimi nikitumia dozi nikajiona niko fiti hua sirudi.
Kwasababu naona ni kupoteza muda na kubana nafasi ya wengine kutibiwa.
Then ni kukosa utamaduni/tabia/uelewa wa ufuatilia afya mpaka mtu aumwe na karibia kufa ndiyo atatoka kwenda kutibiwaHawarudi hata kama hakuna gharama za ziada
Hili nalo waliangalie Kuna kipind ndani kwangu kulikuwa kama pharmacy kias Kwamba nduguzangu wasio na bima wakiandikiwa dawa hospital wanakuja stock kwanza kucheck km hakuna ndo wanunue๐๐๐Hio dozi tu kumaliza kwa mbinde
Ukinywa vidonge vyako siku 1 ukapata nafuu ndio imeisha hioo ๐
nikutukane au nikuache...????Hili nalo waliangalie Kuna kipind ndani kwangu kulikuwa kama pharmacy kias Kwamba nduguzangu wasio na bima wakiandikiwa dawa hospital wanakuja stock kwanza kucheck km hakuna ndo wanunue๐๐๐