Jamaa yangu aliniomba ushauri nikashindwa kumjibu
tatizo lake ni hili
akiwa na mkewe kwenye 6kwa6 hupata goli moja raundi ya pili hushia kuanza na kushia mzee kulaa mwenyewe akiwa kwenye shughuli na game huishia hapo... Je ni tatizo gani linalomwandama..
Wakat mwingine akiwa na mkewe anaweza kupita hata siku 4 bila ku du nae na wanalala kitanda kimoja!
Anasema imeanza siku si nyingi na alikuwa anapiga mpaka 4 kwa usku mmoja! Na akishalala hanyanyuki tena... Anaomba ushauri.
tatizo lake ni hili
akiwa na mkewe kwenye 6kwa6 hupata goli moja raundi ya pili hushia kuanza na kushia mzee kulaa mwenyewe akiwa kwenye shughuli na game huishia hapo... Je ni tatizo gani linalomwandama..
Wakat mwingine akiwa na mkewe anaweza kupita hata siku 4 bila ku du nae na wanalala kitanda kimoja!
Anasema imeanza siku si nyingi na alikuwa anapiga mpaka 4 kwa usku mmoja! Na akishalala hanyanyuki tena... Anaomba ushauri.