Nini hutokea na kupelekea risasi kupungua madhara kutokana na umbali?

Asante sana mkuu umenipa shule
Safi sana
 
Naenda moja kwa moja kwenye swali lako la msingi.

Kuna mambo manne ambayo unatakiwa uyajue kuhusu Velocity au Earth gravitational force......Ili risasi iwe na constant and unchanging speed, level of direction and power lazima vitu hiv vinne vihusike wakati wote.

1. Thrust
2. Drug
3. Lift
4. Weight

Sasa basi....ili risasi iendelee kwenda mbele bila kupunguza nguvu yake na speed yake lazima kuwe na baruti yenye ujazo/nguvu na mtutu mrefu ambao una mistari yenye uwezo wa kuizungusha vizuri ile risasi pindi inapopita ndani ya mtutu huo.....hii itaisadia risasi kuwa na uwezo wa ku-thrust dhidi ya drug forces ambazo huwa zinatokea pale risasi inapokuwa inatembea katika space(hewani kabla ya kukutana na target)

Drugs forces huwa zipo tu...hata binadamu unapokuwa unakimbia kwa kasi lazima ukutane na kani ya ukinzani mbele yako.

Kingine ili risasi iendelee kuwa katika the same level ya target yako...hapa namaanisha kuwa ili risasi isianguke basi inatakiwa Lift force yake iwe kubwa kuliko Weight yake....hiyo ndio formula...ikitokea imefika wakati lift force ya risasi imekuwa ndogo zaidi ya weight yake basi ndipo pale inapoishiwa nguvu hata ya ku-penetrate katika target ...au isipokutana na target huishia kuanguka chini.

Tunajifunza nini katika hili.....Kiukweli ni kwamba kila silaha ina uwezo wake wa kufikisha risasi yake katika umbali husika lakini pia kila silaha ina uwezo wake wa nguvu wa ku-hit au ku- destroy target kwahiyo it depends on ability of the particular gun.
 
Jibu la kisayansi ni kwamba momentum ya risasi huenda ikipungua kadiri risasi inavyosonga mbali na mahali ilipofyatuliwa. Hii hupelekea Force of impact kupungua kwani kuna mahusiano ya moja kwa moja kati ya momentum, uzito wa risasi, na kasi ya risasi.
 
SIKILIZENI NYIE MLOKIMBIA PCM..IKO HIVII RISASI INASUKUMWA NA HOSE POWER INAYOITWA HOLLY POWER OF DIGEST THE CONJECTION AMBAYO INAWEZA KUVUTANA NA HEWA KWA MFANO WEWE UNA MAMA MDOGO WAKO AKAJA LAKINI SIKU HIYO ANAPENDA SANA MSOSI OF THE GRAVITY INAWEZA KUKIMBIA UMBALI KWA MFANO KAMA UMEKASIRIKA ISHIA HAPOHAPO KWANI MI NDO NLIKWAMBIA UKIMBIE PCM MWEHUU NINI OK ANYWAY TUENDELEE HIVYO BASI IKIWA UPO UMBALI MKUBWA MADHARA YA RISASI YANAPUNGUA KWA KUWA INDIECTI VYETI FEKI IN ORDER TO MOVE ON SASA NINI UNAKUNJA SURA SI ..
 


Not true
 
It's true.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ulikua teja na kwa sasa uko sober house sijui simu kakupa nani wakati anajua bado hujapona.
 
Shulegani hiyo watu wa PCM wanachora mistari kawa watu wa BOKEEPING umejaza maherufi mabubwa utafikili unawaandikia vipofu
 

Maximum range ya bunduki inapatikana kwa angle ya elevation 45 degrees, hivyo ni muhimu kujua umbali ambao kutakuwa na mnyooko wa kulenga shabaha na ule ambao yaweza kuua au kujeruhi bila dhamira ya mpigaji.
 
majibu mepesi na yanayoeleweka kirahisi kulingana na muuliza swali ndio haya ,vingine mnavyovitolea maelezo sidhani kama vina muhimu labda kama muuliza swali angetaka kuuliza kulingana na majibu haya aliyopewa
 

Utumbo.
 
Mambo ya kinetic energy ,Inertia, na newton's law kama hukusoma physics A level pole sana


Alaaa so unaona wote walioko huku walisoma physics? au walienda A level watu bwana au na wewe ni Daudi?
 
Wonders shall never ends. ... naapa mbuzi aningate ningekuwa moderator ningekulima bun. Dadeq
 
nav0jua mimi ni kut0kana na
.
>air resistance
¤ force due to gravity
¤
 
We ni MPUMBAVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…