Nini hutosahau katika kutongoza

Nini hutosahau katika kutongoza

Mia saba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
255
Reaction score
390
Imekuwa kawaida ya kumpata umtakaye kupitia kumshawishi hasa hasa kwa maneno yaani kutongoza

Nina Visa viwili vilivyonifanya comrade wa kurusha nyavu😂

Part I
Kuna katoto ka kike hako ka get Kali kwao kalipewa ulinzi Zaid ya Tanzanite ukikaona hutotamani masaa yasonge kwa uzuri huo hivyo juu ya kutokuweza kuonekana kwake ovyo ovyo kukafanya kuniwazisha nampataje huyu

Siku moja nikagonga home kwao kuzuga Kama msaka kibarau nikaambiwa na Getman rud kesho ujaribu boss yupo job nikasema poa kesho ntajaribu

Tu cut the stor niliweza Zama ndani ya Ile ngome nikapiga Kaz za nyas kwa malengo
Nikaanza Anza vimazoea na yule dogo Mara nikapitisha sound dogo kasema Ila Mimi sijui hayo Mambo

Nikaona hii Ni new product
Nikawa na bembeleza kumbe dogo alimpitishia za chini mshua kijakaz anataka kun***Mba

Ishukuriwe miguu ningefanya msosi ya Yale ma mbwa Yao😂😂 mzee katoka na panga nikajiuliza mbona sioni miti ya kupruni asee 😂😂 nasikia mama nanii dog inakulaga kilo ngapi kwa siku 😂😂 asee acha kabisa wanaume tunapitia mengi.

Nilihama mtaa na mda nilipoteza juu ya yule mrembo wa tajir

Part II
Itaendelea😂😂
 
Tupige kazi ,tule vizuri tunywe ,tucheke kisha tusali at the end of the day tusubiri siku ya kufa maana mambo mengine yamejaa ubatili.
 
Sito sahau ile siku nakutana na rihana carfonia akanitunuku papuchi bure kabisa , badae drake akaja kunipa kipigo mule hotelin ....noma sana
 
Mnaosema fix tukumbuke Vita vya majimaji
Maji vs silaha
Ila tunapitia mengi mno
 
Imekuwa kawaida ya kumpata umtakaye kupitia kumshawishi hasa hasa kwa maneno yaani kutongoza

Nina Visa viwili vilivyonifanya comrade wa kurusha nyavu😂

Part I
Kuna katoto ka kike hako ka get Kali kwao kalipewa ulinzi Zaid ya Tanzanite ukikaona hutotamani masaa yasonge kwa uzuri huo hivyo juu ya kutokuweza kuonekana kwake ovyo ovyo kukafanya kuniwazisha nampataje huyu
Siku moja nikagonga home kwao kuzuga Kama msaka kibarau nikaambiwa na Getman rud kesho ujaribu boss yupo job nikasema poa kesho ntajaribu
Tu cut the stor niliweza Zama ndani ya Ile ngome nikapiga Kaz za nyas kwa malengo
Nikaanza Anza vimazoea na yule dogo Mara nikapitisha sound dogo kasema Ila Mimi sijui hayo Mambo
Nikaona hii Ni new product
Nikawa na bembeleza kumbe dogo alimpitishia za chini mshua kijakaz anataka kun***Mba
Ishukuriwe miguu ningefanya msosi ya Yale ma mbwa Yao😂😂 mzee katoka na panga nikajiuliza mbona sioni miti ya kupruni asee 😂😂 nasikia mama nanii dog inakulaga kilo ngapi kwa siku 😂😂 asee acha kabisa wanaume tunapitia mengi.
Nilihama mtaa na mda nilipoteza juu ya yule mrembo wa tajir

Part II
Itaendelea😂😂
Mimi nilikuwa ustadh kabisa ili kumpata Hawa.
Hawa popote ulipo nakusalimu kwa jina la Tanzania
 
Sito sahau ile siku nakutana na rihana carfonia akanitunuku papuchi bure kabisa , badae drake akaja kunipa kipigo mule hotelin ....noma sana
Hivi Unajua Kuna Mtu Anapitia Matatizo Ya Kimahusiano Na Mpenzi Wako...???[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikutana na mtoto black beauty baba baba mtoto alikuwa mkali afu mi napenda sana hii natural colour

Nikajikaza nikajenga nae mazoea
Siku zikasogea nikaona nisiendelee kukaa kimya nimchana mi namuelewa urafiki uliisha pale pale mpaka nikaanza

kujilaumu kwa Nini nilimwambia ukweli ni bora ningekaa kimya tu

Nikaendelea kuinjoi ukaribu wake Kama rafiki
Lakini mtaka vyote kwa pupa
 
Back
Top Bottom