Nini huwa madhumuni ya polisi wasio na sare(plain clothes police) kukamata watu?

Nini huwa madhumuni ya polisi wasio na sare(plain clothes police) kukamata watu?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hivi Kwenye muongozo rasmi wa utendaji(PGO) ya police kuna muongozo wa polisi wasiovaa sare kukakamata raia watuhumiwa?
Kuna muongozo wa polisi kufanya ukamataji wakiwa na gari ambazo hazina namba rasmi za polisi?

Lakini hata kabla hatujaenda kwenye muongozo wa polisi tukifikiria tu kwa common senses tu kwamba mtu hana vidhibiti kama dawa za kulevya, magendo, nyara za serikali au bunduki kuna maana gani au mashiko ya kuviziwa na kukamatwa na askari wasiovaa sare au wanaotumia gari zisizo na namba za polisi?!
 
Hivi Kwenye muongozo rasmi wa utendaji(PGO) ya police kuna muongozo wa polisi wasiovaa sare kukakamata raia watuhumiwa?
Kuna muongozo wa polisi kufanya ukamataji wakiwa na gari ambazo hazina namba rasmi za polisi?

Lakini hata kabla hatujaenda kwenye muongozo wa polisi tukifikiria tu kwa common senses tu kwamba mtu hana vidhibiti kama dawa za kulevya, magendo, nyara za serikali au bunduki kuna maana gani au mashiko ya kuviziwa na kukamatwa na askari wasiovaa sare au wanaotumia gari zisizo na namba za polisi?!
Vikosi vya siri vya serikali vinavyoshughulikia raia wanaohoji serikali
 
KIFUPI HIYO TABIA NI YA KIJAMBAZI KABISA !!!! NDIYO MAANA WANANCHI HAWANA IMANI KABISA NA JESHI LETU LA POLISI !!!!
 
Ukifanikiwa kumalizana nae itapendeza zaidi, otherwise usikubali kukamatwa na plain clothes individuals identifying themselves as police in unmarked vehicles.
Uzoefu umeonuesha nothing good comes out of those guys.
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom