Nini huwa ufanyika baada ya kufunga ndoa-hanmon

Kwenye fungate wana dada-vuana sana! Ni uzoefu mzuri sana ndiyo siku ya kuonyesha udume wako na bibi kuonyesha uanamke wake. Ina hitaji mafunzo mapana zaidi. Hapa kwenye JF wengine ni watoto wetu, tutafute kwa muda mwafaka tukuelekeze. Njoo na mwenzio pale Mlimani city Kesho jioni Meza za nje pale kwenye mgahawa usio na pombe. Nitakuwa nimevaa kibandiko cha kahawia na mamsapo akiwa kwenye vazi la jioni rangi ya samawati. Tutakaa meza ya mwanzo kushoto. Tutawagawa katika jinsia ili tupate kuteta bila woga wala aibu. karibu kesho na wengine wenye haja hiyo wote mnakaribishwa.
 
matusi/dharau izo zote za nin?
kwa iyo han muni yenu ni kwa ajili ya demu tu?na km si bkra basi haina maana?
it seems u dnt knw what is honeymoon..n wwhat t takes 2b

u better sht up:shut-mouth:..kuliko * kujambajamba tu apa
we ndo unajamba na ulitaka ni2mie jina gani? maskini inaelekea ulipoteza bikra yako kijinga sana! Ndo maana imekugusa. Haaa! Ndo ntoleee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…