Nini ilikuwa asili ya majina haya? Je wazee wetu walikuwa na mawazo haya toka zamani?tusilaumiwe

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
haya majina ya maeneo haya yananipa mashaka sana juu ya mawazo ya wazee wetu. na najiuliza ilikuaje wakafikiria kuita haya maeneo majina haya? je watoto wao sasa wanapokuwa wanaendana na majina haya hawaoni kama ni muendelezo wa hisia zao?

Kundu Uchi = Kunduchi
Nyege Hizi = Nyegezi
Mchamba wima
Kilima nyege

tupatie na mengine.
 
Tatizo unayatafsiri haya majina kwa lugha ambayo sio asili yake, jaribu kutafta maana yake kwa kilugha cha makabila zinakopatikna hizi sehem, utakuta ziko meaningful na sio upuuzi unaowaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…